Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1959 - Fidel Castro aingia madarakani kama Kiongozi wa Nchi ya Cuba mara baada ya kuangusha utawala wa Dikteta Batista katika Mapinduzi ya Cuba.
2626a0fce534dfe670437d5ccbbbffe9.jpg
dee8e8d047f5d0545b75f9c7918a0440.jpg
 
1964 - Bebeto anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Brazil aliyeshinda Kombe la Dunia mwaka 1994 .

Anakumbukwa kwa kutengeneza Kombinesheni hatari na Romario katika kombe la dunia mwaka 1994 hali iliyopelekea kutwaa ubingwa huo.

Licha ya ushirikiano wao ndani ya Uwanja uliozua gumzo, Nje ya uwanja walikuwa hawaongei kabisa jambo ambalo liliwashangaza wengi.
 
1964 - Bebeto anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Brazil aliyeshinda Kombe la Dunia mwaka 1994 .

Anakumbukwa kwa kutengeneza Kombinesheni hatari na Romario katika kombe la dunia mwaka 1994 hali iliyopelekea kutwaa ubingwa huo.

Licha ya ushirikiano wao ndani ya Uwanja uliozua gumzo, Nje ya uwanja walikuwa hawaongei kabisa jambo ambalo liliwashangaza wengi.
e81ee4670f63ae61ed00e6362f551ef4.jpg
6895f4a5fd826941011cd018f3d23c32.jpg
8caf990d324074543ae2ddfe1612bbb7.jpg

Babyface
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom