shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nipo mtoto wa MaoWapiiiiiiii shululuuuuuuuuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo mtoto wa MaoWapiiiiiiii shululuuuuuuuuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
RIPLeo katika Historia:
1959 - Fidel Castro aingia madarakani kama Kiongozi wa Nchi ya Cuba mara baada ya kuangusha utawala wa Dikteta Batista katika Mapinduzi ya Cuba.
Mzee wa tanowengeeeNipo mtoto wa Mao
Hiki Chama kinatisha sana1985 - Hezbollah yaanzishwa.
Ni chama cha jihad kinachopatikana huko Lebanon.
Unakumbuka lile gori alilofungwa bathez kipindi kile cha club bingwa ya Dunia1964 - Bebeto anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Brazil aliyeshinda Kombe la Dunia mwaka 1994 .
Anakumbukwa kwa kutengeneza Kombinesheni hatari na Romario katika kombe la dunia mwaka 1994 hali iliyopelekea kutwaa ubingwa huo.
Licha ya ushirikiano wao ndani ya Uwanja uliozua gumzo, Nje ya uwanja walikuwa hawaongei kabisa jambo ambalo liliwashangaza wengi.
Siku hizi símşikii kàbisà1987 - Hasheem Thabeet anazaliwa.
Ni mchezaji ea Mpira wa kikapu kutoka Tanzania aliyewahi kukipiga katika ligi ya NBA.
Asante diktetaLeo katika Historia:
Sina la ziada, jioni njema.
Katika kazi yo yote bila nidhamu na kujituma huwezi kufika mbali. Japo ana pesa za kutosha (kama alizitumia vizuri) alilewa sifa mapema akapoteza moyo wa kujituma. Tunawaonea wivu wanamichezo hawa kutokana na pesa nyingi wanazolipwa lakini ili kufanikiwa inabidi uwe na nidhamu ya hali ya juu na work ethic nzuri. Ni maisha ya kufanya mazoezi kila siku na ukizembea kidogo tu watu wanachukua nafasi yako.Siku hizi símşikii kàbisà
Senk yu MussoLeo katika Historia:
Sina la ziada, jioni njema.
Atakuwa alipigwa misumari alipokuja BongoSiku hizi símşikii kàbisà

Ahsante kwa magazetMichezo na burudani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante Bhinamu kipenzi ...Asante kwa magazeti mjomba lee empire