Makapuku Forum

Makapuku Forum

1964 - Bebeto anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Brazil aliyeshinda Kombe la Dunia mwaka 1994 .

Anakumbukwa kwa kutengeneza Kombinesheni hatari na Romario katika kombe la dunia mwaka 1994 hali iliyopelekea kutwaa ubingwa huo.

Licha ya ushirikiano wao ndani ya Uwanja uliozua gumzo, Nje ya uwanja walikuwa hawaongei kabisa jambo ambalo liliwashangaza wengi.
Unakumbuka lile gori alilofungwa bathez kipindi kile cha club bingwa ya Dunia
 
Siku hizi símşikii kàbisà
Katika kazi yo yote bila nidhamu na kujituma huwezi kufika mbali. Japo ana pesa za kutosha (kama alizitumia vizuri) alilewa sifa mapema akapoteza moyo wa kujituma. Tunawaonea wivu wanamichezo hawa kutokana na pesa nyingi wanazolipwa lakini ili kufanikiwa inabidi uwe na nidhamu ya hali ya juu na work ethic nzuri. Ni maisha ya kufanya mazoezi kila siku na ukizembea kidogo tu watu wanachukua nafasi yako.

Kwa sasa nadhani yupo (D)evelopmental League akijaribu tena kuonyesha kama anafaa kwenye real league (NBA). Tatizo ni kwamba wachezaji wengi wanaoshushwa kwenye D league, ni chini ya asilimia moja ndo huweza kurudi tena kwenye NBA. Na umri wa kimichezo nadhani utakuwa kidogo umeenda (ukivuka 25 au 30 kulingana na kipaji chako na level ya fitness basi unahesabiwa kuwa umeanza kuzeeka). Yote kwa yote dogo alitutangaza vizuri mpaka na Kiswahili akakisahau na kuanza kuongea kama nigga kutoka ghetto za Baltimore!
 
tapatalk_jpeg_1487020819967.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom