Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimekosea kuweka ??? ...

Ila bado tuko mlemle hakijaaribika kitu bhinamu na mm uku nimefanya kama alivosema sina mchezo aiseeeeeh

Ewaaa bado tuko mule mule, mwenyewe wikend hii kila kitu kinakaa sawa. Uzuri dawa za hawa mafundi hazina yale masharti oooh usinywe pombe. Masharti hakuna, unaruhusiwa kukata kilaji (sema kuchangia gudulia la seriakli) kama wenye dini zao wanavyoghani mistari ya misahafu yao
 
Ewaaa bado tuko mule mule, mwenyewe wikend hii kila kitu kinakaa sawa. Uzuri dawa za hawa mafundi hazina yale masharti oooh usinywe pombe. Masharti hakuna, unaruhusiwa kukata kilaji (sema kuchangia gudulia la seriakli) kama wenye dini zao wanavyoghani mistari ya misahafu yao
Umeoonaaa make daaaah ingekuwa hatar mkuu weekend bila kitu
 
Tuwe na Furahi day njema makapuku, tunaanza na kusoma magazeti, tunajikumbusha kipigo cha Arsenal na Barca. Tunafurahia ushindi wa Simba halafu ...

201602_1642_gdgfi_sm.jpg

funny-its-friday-quotes-12.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom