Makapuku Forum

Hata huko CCM hatadumu
Sasa noma keshakuwa na maadui wengi....km waliweza kumchezea faulo mamvi watakashindwa haka kajamaa?

Umeongea point bro
..................
 

Mkuu bitoz unatafuta kuhama nini tena kasema unaweza kutoka na ndala tu.
 
Haaaaahaaaaa ndio tunaelekea huko, mtu anaposema na gari iwekwe rock up unategemea nini
Ndo tabu ya kuongozwa na MASKINI
*Mikopo kwa waliosoma private kabana
*Ajira kabana
*Matumizi kabana
Anaonyesha chuki za waziwazi kwa matajiri na watu wa kipato cha kati kwavile yeye kapitia maisha ya kuchunga ng'ombe
...
 
Hata huko CCM hatadumu
Sasa noma keshakuwa na maadui wengi....km waliweza kumchezea faulo mamvi watakashindwa haka kajamaa?

Umeongea point bro
..................

Seriously, approach aliyotumia kwanza si sahihi na ina gharama kubwa. Hii inaweza fanywa na kiongozi wa kiimla tu na bahati mbaya sana hatunaye hapa hata kama atajitangaza kuweza kufanya analotamani kufanya.

Kajamaa ukikaangalia kanajilinganisha na kufanya mambo ya kiMedici zama za Florence ambapo wanajifanya kuwa karibu na umma huku wakinufaisha wao zaidi. Matamko yake na namna anavyoweza kuwashurutisha bila shuruti watu wenye taaluma ( likiwemo kundi la maaskari na wanausalama) kutimiza ndoto zao za kifisi.

Yana Mwisho, aliandika Shafi lakini mwisho hauwezi kama umma haujatambua kuwa una nguvu (social contract) dhidi ya maamuzi bila mashauriano.

Nway, makapuku ni sehemu bora kabisa ya kufurahia jukwaa
 
Hata huko CCM hatadumu
Sasa noma keshakuwa na maadui wengi....km waliweza kumchezea faulo mamvi watakashindwa haka kajamaa?

Umeongea point bro
..................
Tatizo ni kwamba hatujui lengo lake ni nini. Pengine hata wakimtoa lengo lake litakuwa limeshatimia. Kumbuka tayari ni tajiri wa kutupwa (kama yaliyosemwa bungeni ni kweli!). Siasa ni kama mchezo wa chess. I hope anajua anachofanya!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…