shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Iko poa kabisaKwema mkuu ,weekend ikojee ?
Iko poa kabisaKwema mkuu ,weekend ikojee ?
Powa, za wewe injinia?Mukongo vp



Bongo watawala wanatumia kanuni ya divide n ruleUmma ungekuwa unajua nguvu ulizonazo mbele ya washikilia mpini kamwe usingetawalika wala kuhadaika kirahisi. Umma ni maji na washikilia mpini ni samaki. Samaki bila maji hawezi kuishi lakini uwepo wa maji haukamilishwi na uwepo wa samaki...Ngoja nikome hapa nisije nikapachikwa uchochezi bure. Jumamosi inaendeleaje Makapuku?![]()

Siyo Bongo peke yake Mukongoman. Hii ni mbinu ya watawala ya tangu enzi na enzi. Hata Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga alifanya vivyo hivyo!!!Bongo watawala wanatumia kanuni ya divide n rule![]()
Jibu la wanawake wa Marekani kwa Trump baada ya kusema kuwa yeye huwa anapenda kuwashika .....zao. Demokrasia @ work au ni ujinga na ukosefu wa maadili?![]()











Ilikutokea ni niniUmeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unaparamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajaribu kupapasa uviweke sawa mara taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama ukushiba ungesema![]()

Tulimpatia mpinzani wetu nafasi ya sita lakini namuona anavyoikataa kwa nguvu kubwaMan six vip, hatujapata matokeo
.....ilimtokea nanii alipokwenda kwa kina shunieIlikutokea ni nini![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Bila shaka hii itakuwa Msumbiji. Kuna mashamba makubwa huko na majani yake yakiwa machanga ni mboga mashuhuri sana. Ni biashara inayolipa mno!