Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,226
- 39,942
Mzee wa posa mukongo anakuona

Mzee wa posa mukongo anakuona











Naniiii....Isipokua nini
Ahaaaaaaah au unauza iPhone unareplace na techno w3-Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza pamoja na ugumu wa January hamjauza simu zenu![]()
Mmetisha sana family, kuna group la wasap tumebaki wawili
��������
Nataman kusema lakini nitakua namkosea heshima basi tu ngoja nitafute mwingine brother lee alinipeleka toi ya kikeNimefurahi sijui mmeshindwana nn ata muda haijachukua
Hahahhhh utakapoona rahisi kwako kama kwa lee au kwangu
Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji.....
Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
~sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure
![]()
Goodmorning Bhinamu ObeGood morning Makapuku wenzangu
![]()