Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tena Gwajima leo kaahidi maajabu na miujiza ya aina yake. Kama unajihisi kuwa una mikosi mikosi basi leo ndo siku ya kufika kwa Gwajima. Unaambiwa hata kama Makonda alikuwa anatarajia kukutaja basi jina lako hatalikumbuka tena! Ooooh tazama yote yamekuwa mapya!!!
Ile orodha ya pili ni ya MAPAPA au wale ni SANGARA tu?
 
06cdfdc4ace183e4edef23c109303797.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom