shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Shabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii.....ilimtokea nanii alipokwenda kwa kina shunie
Mie ndukii![]()



AiseeShabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii![]()
Imeenda vizuri sana, vip upande wako
Bwanaaaabwaaaanaaah ....Shabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii![]()

.....ilimtokea nanii alipokwenda kwa kina shunie
Mie ndukii![]()

Tena Gwajima leo kaahidi maajabu na miujiza ya aina yake. Kama unajihisi kuwa una mikosi mikosi basi leo ndo siku ya kufika kwa Gwajima. Unaambiwa hata kama Makonda alikuwa anatarajia kukutaja basi jina lako hatalikumbuka tena! Ooooh tazama yote yamekuwa mapya!!!Kumekuchaaa![]()
![]()
![]()
Msisahau kwenda kanisani kwa wale wakristo.....nawatakieni Jumapili Njema
Karibu sanaNimerudi rasmi kwenye familia![]()
![]()