Makapuku Forum

Makapuku Forum

.....ilimtokea nanii alipokwenda kwa kina shunie

Mie ndukii[emoji125]
Shabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Shabaash! Mie simjui huyo naniii ila ingekuwa powa tu kama ma mkwe angemtoa nduki usiku wa manane ikiwezekana na kelele za "mwizi! mwizi!" juu. Wengine katuzibia bahati zetu kwa Shunie bure tu...ndukiiiiii[emoji125][emoji125][emoji125]
Bwanaaaabwaaaanaaah ....

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jumapili tulivu yatupasa kumshukuru aliye juu kwa kutuwezesha kuiona Siku ya leo
b059ab95666ee24a308c25f52d18db17.jpg
493e388979de8629d63daa6958e3b632.jpg
37f812643abd502364b977797ab9eac0.jpg
2833aaea19ff43e29eeb35474102b37b.jpg
3f1d17ac459ebf22a4c64ea0339ef030.jpg
cb101493f1e3b29a61ddab6aad56a981.jpg
263d0e70d3ddaad2047f6f0531d9f3bb.jpg
97654ee931e5764f70390a1306205539.jpg
 
Kumekuchaaa[emoji350] [emoji350] [emoji350]

Msisahau kwenda kanisani kwa wale wakristo.....nawatakieni Jumapili Njema
Tena Gwajima leo kaahidi maajabu na miujiza ya aina yake. Kama unajihisi kuwa una mikosi mikosi basi leo ndo siku ya kufika kwa Gwajima. Unaambiwa hata kama Makonda alikuwa anatarajia kukutaja basi jina lako hatalikumbuka tena! Ooooh tazama yote yamekuwa mapya!!!
 
Back
Top Bottom