Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Thanks Mr Balozi![]()
Goal of the month
Andy Carroll{West Ham}
Wapi Giroud...ile ilikuwa ni cow kick tu ila ilikuzwa ili kulifunika bao la Mkhitaryan lakini imeshindwa hadi na goli la Caroll
![]()
![]()
...........
HahahhahaahaaaKuna wanafunzi wengine hawapendagi ujinga aisee...![]()
Asante Na karibuMheshimiwa tunashukuru kwa upendo wako
Hongera zake![]()
Manager of the month
Paul Clement{Swansea}
.......
Nini tena shemelaww apo
KakumisNini tena shemela
baby akeeBaby sweetheart ...![]()
![]()
![]()
![]()

Duuh!Madenge sijaja huku kitambo. Hujambo dogo?![]()
Nakusalimia tu shemelaNini tena shemela
HahahhhKakumis
Karibu sana,pole Na safari ubarikiwe sanaNilikuwa safarini mkuu. Nimerudi na nitakuwepo kwa takriban miezi mitatu. Inshallah tutakuwa pamoja. Shunie ndo huwa ananifanya nipamiss huku sana sana. Halafu tena nikikukumbuka wewe (ukiwa na Shunie) stimu inakata. Hata hivyo tuko pamoja mkuu![]()
Asante Shunie. Nilikuwa kwa Trump na nimekuletea kizawadi. Nikipitishe kwa mzee (Lee Empire) au nikilete moja kwa moja kwako? Toa mwongozo please....ndukiiiiiiiii !!!miss u shimba ya buyenze
Asante shemela, uko poa lakiniNakusalimia tu shemela
Sikuiona hii postMadenge sijaja huku kitambo. Hujambo dogo?![]()