Makapuku Forum

Makapuku Forum

56f1d982dd498efb4c78f364a743fe6e.jpg
 
Jamaa waliweka check and balances ili kuzuia rais asiwe na madaraka makubwa kupindukia na hatimaye kuwa dikteta. Kila mhimili wa madaraka unajitegemea na kufanya kazi yake inavyopaswa. Trump tayari ameanza kuhangaika na haamini kama jaji tu tena wa mahakama yenye hadhi ya kiwilaya anaweza kupiga chini amri zake. Demokrasia!

Hata sisi ile katiba ya Warioba ina mapendekezo mazuri sana kuhusu kupunguza madaraka ya rais. Ila ndo hivyo tena; tumeiweka kwenye makabrasha kwanza. Demokrasia!
 
Jamaa waliweka check and balances ili kuzuia rais asiwe na madaraka makubwa kupindukia na hatimaye kuwa dikteta. Kila mhimili wa madaraka unajitegemea na kufanya kazi yake inavyopaswa. Trump tayari ameanza kuhangaika na haamini kama jaji tu tena wa mahakama yenye hadhi ya kiwilaya anaweza kupiga chini amri zake. Demokrasia!

Hata sisi ile katiba ya Warioba ina mapendekezo mazuri sana kuhusu kupunguza madaraka ya rais. Ila ndo hivyo tena; tumeiweka kwenye makabrasha kwanza. Demokrasia!
Hiyo ni Separation of power tuliobahatika kusoma Administrative law tunaelewa vizuri

Lakini kuna mambo yanatatiza
*Rais anateua wabunge
*Rais ni sehemu ya Bunge pia{anaweza kuingia bungeani}
*Rais anateua majaji
*Wabunge wanaweza kumwajibisha rais n.k
Kiukweli katiba yetu bado ni mbovu hivyo kutoa mwanya kwa mihimili hii mitatu(Binge,serikali/Rais na Mahakama) kuingiliana
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom