Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shimba umeziina picha sasa
Kuzaliwa identical twins wakati mwingine napo ni shida tupu!
112773d5e10861abd9ee7dd7e6353178.jpg
 
Jamani Makapuku wazima?nimewamiss, nawatakia siku njema sana sana Mwenyezi Mungu awabariki sana katika kila mnalofanya Na wanaougua poleni,Mungu awaponye,mnaopitia changamoto yoyote Mungu awape wepesi,mnaosafiri safari njema, Muwe Na amani tele na kushukuru kwa Mungu kwa kila jambo....Ijumaa Khareem
 
Jamani Makapuku wazima?nimewamiss, nawatakia siku njema sana sana Mwenyezi Mungu awabariki sana katika kila mnalofanya Na wanaougua poleni,Mungu awaponye,mnaopitia changamoto yoyote Mungu awape wepesi,mnaosafiri safari njema, Muwe Na amani tele na kushukuru kwa Mungu kwa kila jambo....Ijumaa Khareem
Mheshimiwa tunashukuru kwa upendo wako
 
Mkuu segment yako imekosa wa kusaidia tunamis mambo
Nilikuwa safarini mkuu. Nimerudi na nitakuwepo kwa takriban miezi mitatu. Inshallah tutakuwa pamoja. Shunie ndo huwa ananifanya nipamiss huku sana sana. Halafu tena nikikukumbuka wewe (ukiwa na Shunie) stimu inakata. Hata hivyo tuko pamoja mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom