Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mambo vp ClkeyIm ok babe,mekumiss mnoooo
Morning hopeMorning mkuu
Karibu sana jirani, tupo kama kawaNawaulizia hawa watu kama wapo bado mi ndo naingia leo Jf baada ya kutosign in kwa muda mrefu kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu kuna hawa watu...
1. Quigley
2. Bitoz
3. City boy
4. Shululu
5. Mussolin 5
6. Baily
7. Jimena
8. Amazing
9. Tetramycin
10. Mkwepa kodi a.k.a kitwanga
11. The book
13. Makaveli 10
Etc..
Missing you so much guys! popote mlipo much love Sweetiepie nimerudi tena
Pole mjanja wangu, vipi unaendeleaje?Pole aiseeeh papaa mimi nipo na kimalaria kinasumbua ila shem wako Shunie mzima kabisa
Pole Sana Lee, unaendeleaje lakiniPamojaa bhinamu Obe
Nipo mkuu ndo nimetoka hosptal niko poa jembeLee umeamkaje mkuu
AmekusahauNipo mwalimu.....kumbe sipo
![]()
![]()
Namshukuru Allah ,sio kama janaPole mjanja wangu, vipi unaendeleaje?
Jembe namshukuru Allah ..niko fit sio kama janaPole Sana Lee, unaendeleaje lakini
Mkuu heshima yakooMorning wakuu!
Morning mke wangu Clkey...
Morning everybody...!
Shemela wetuC kwa maneno haya
Nna furaha pia kukuta hujaibiwa
Pole sana, Mungu akujalie upone harakaNipo mkuu ndo nimetoka hosptal niko poa jembe
Umemuona sweetpetieJembe namshukuru Allah ..niko fit sio kama jana
Nimemuona mkuu na mtoto mzuri mukongoUmemuona sweetpetie
Asante mkuu ...si unajua pembeni kuna kipenda rohoPole sana, Mungu akujalie upone haraka
Wamebaki wachache...kuna wapya kibao wenye swaga mpyaNawaulizia hawa watu kama wapo bado mi ndo naingia leo Jf baada ya kutosign in kwa muda mrefu kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu kuna hawa watu...
1. Quigley
2. Bitoz
3. City boy
4. Shululu
5. Mussolin 5
6. Baily
7. Jimena
8. Amazing
9. Tetramycin
10. Mkwepa kodi a.k.a kitwanga
11. The book
13. Makaveli 10
Etc..
Missing you so much guys! popote mlipo much love Sweetiepie nimerudi tena