













Morning mkuuMorning all kapuku
Mna manenoooooSijawahi ona watoto vilaza km hawa wa dar, wizara ya elimu makao makuu yapo dar, maktaba ya taifa ipo dar, rada ya taifa ipo dar, simba na yanga zipo dar, majarida ya nyambari nyangwine yanachapishwa dar, oxford printing press ipo dar, n.k lakini bado wametoa shule *sita bora kwa ubovu*. Isitoshe hata wimbo wa darasa producer anaishi dar bado wanafeli.
![]()
Umepima damu kubwa?Jembe namshukuru Allah ..niko fit sio kama jana

MkuuMaamboz