Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Yuko pouwa kabisa! She will be online soon...! shunie yuko salama?Morning mkuu
Clkey mzima??![]()
![]()
![]()
![]()
Yuko pouwa kabisa! She will be online soon...! shunie yuko salama?Morning mkuu
Clkey mzima??![]()
![]()
![]()
![]()
Vizuri kusikia japo nimeona jirani amerudi na amejipanga ,shunie wangu kipenda roho yuko mzima kabisaYuko pouwa kabisa! She will be online soon...! shunie yuko salama?
Morning TranscendMorning mkuu!
Morning makapukuz!
Asante lee....mama bite hajamboUdaku![]()
Tuwe na Siku njema wakuu
Na kwako piaNawatakieni Ijumaa Kareem wote wapendwa wa Makapuku Forum.
hahahaahh muulizeHivi Lee anajua kucheza mpira
hahahhhh....ana mipira yake huyu mjombaangu, kwake kufumaniwa ni kama Ruud van Nistelrooy na magoli ya kuotea
sante baba bite kwa magazetiMorning shemela wake shunie
ndio mana johnson analalamikaMorning mkuu
Clkey mzima??![]()
![]()
![]()
![]()
Mzima kabisaAsante lee....mama bite hajambo
Asante na wewe kwa kupitia tena make yote uliyapitia kabla hayajawekwasante baba bite kwa magazeti
Ahaaaaaaaah wote walewalendio mana johnson analalamika
Na wewe pia mkuuNawatakieni Ijumaa Kareem wote wapendwa wa Makapuku Forum.
Na wewe piaSiku Njema Mungu awabariki
nenda kkoo postal bank upande wa pili kuna mtaa ingia nao hapo hapo wanauza maurembo na mavitu vitu mengine ya kike kwa jumla mtaa unaitwa muhondaWakuu Nataka nikachukue mzigo wa urembo wa elfu hamsin tu Wapi duka zuri kwa bei ya jumla