Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu Nataka nikachukue mzigo wa urembo wa elfu hamsin tu Wapi duka zuri kwa bei ya jumla
Maduka yapo mengi ila itategemea na unahitaji nini mkuu kutokana na bajet yako

Mfano iyo 50 unaweza ukanunua Queen Elizabeth makopo mawili ,naonaga Shunie wangu anachukua kwa moja nusu ya bajet yako
 
Maduka yapo mengi ila itategemea na unahitaji nini mkuu kutokana na bajet yako

Mfano iyo 50 unaweza ukanunua Queen Elizabeth makopo mawili ,naonaga Shunie wangu anachukua kwa moja nusu ya bajet yako
Usimkatishe tamaa lee acha aende nilipomuelekeza atapata vingi kwa hela hiyo wanauza jumla kule mpk kuanzia elf 1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom