Haaaaahaaaaa....ana mipira yake huyu mjombaangu, kwake kufumaniwa ni kama Ruud van Nistelrooy na magoli ya kuotea
Asante kwa majibu mubashara....ana mipira yake huyu mjombaangu, kwake kufumaniwa ni kama Ruud van Nistelrooy na magoli ya kuotea
Morning shemela wake shunieMorning makapuku, kumekucha tena ni siku nyingine tena ya mapambano
Asante Lee kwa. Magazeti, Leo yamekuja yakiwa ya moto kabisa kutoka jikoniUdaku![]()
Tuwe na Siku njema wakuu
MorningMorning shemela wake shunie
Shemela shunie mzima?Morning shemela wake shunie
Bhinamuuuuuuuuuuuuuu Leo umechelewa kutoka rindoni
Mzima kabisaShemela shunie mzima?
Bhinamuu hujanibebea ata 1 kwenye koti??Ni kweli anko, tuliikamata Bajaj moja ina kreti za bia za kumwaga. Tumemwachia dereva kaacha mzigo wote ndo tulikuwa tunagawana hapa.