Makapuku Forum

Makapuku Forum

Malkia kama kawaida yake
3bccb2f0028a5260639c1c9217e03639.jpg
8ce60d4ba6f1f59dd5e350ff065851ee.jpg
 
Makapuku. Kumekucha. Kwa wasio na ajira rasmi na wenye ajira ambazo hamridhiki nazo. Oprah Winfrey huyu hapa akiwaasa. Msiogope wala kuchagua kazi. Fanyeni cho chote muwezacho mpaka pale mtakapokuwa na nafasi na uwezo wa kufanya mkitakacho. Hakuna kuona aibu wala kurudi nyuma. Blessings!
8e306326b6d790c4bc3d2c4a39c9ee48.jpg
 
Na mhalifu mjinga wa leo ni mwenyewe Jeffrey Dahmer mla watu. Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa ukila nyama ya mtu utaendelea kuila tu hakuna kukoma. Dahmer alionja nyama ya mtu na hakuweza kuacha. Polisi walimkuta amejaza majokofu yake viungo mbalimbali vya binadamu tayari kwa kukaangiza. Kilichowashangaza ni kwamba jamaa hakuwa na wasiwasi kabisa aliponaswa. Aliwaambia mapolisi "Duh! Safari hii inaonekana nimelikoroga ile mbaya". Ujinga na tamaa vilimzidi akajaza nyama kila mahali mpaka zingine akakosa mahali pa kuzihifadhi akawa anazi-flush kwenye choo. Choo kilipoziba ndipo mambo yakamharibikia...
2c43958cd186d47f2169165b03fc0683.jpg
 
Na mhalifu mjinga wa leo ni mwenyewe Jeffrey Dahmer mla watu. Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa ukila nyama ya mtu utaendelea kuila tu hakuna kukoma. Dahmer alionja nyama ya mtu na hakuweza kuacha. Polisi walimkuta amejaza majokofu yake viungo mbalimbali vya binadamu tayari kwa kukaangiza. Kilichowashangaza ni kwamba jamaa hakuwa na wasiwasi kabisa aliponaswa. Aliwaambia mapolisi "Duh! Safari hii inaonekana nimelikoroga ile mbaya". Ujinga na tamaa vilimzidi akajaza nyama kila mahali mpaka zingine akakosa mahali pa kuzihifadhi akawa anazi-flush kwenye choo. Choo kilipoziba ndipo mambo yakamharibikia...
2c43958cd186d47f2169165b03fc0683.jpg
Asante mkuu hii segment tuliimis
 
Makapuku. Kumekucha. Kwa wasio na ajira rasmi na wenye ajira ambazo hamridhiki nazo. Oprah Winfrey huyu hapa akiwaasa. Msiogope wala kuchagua kazi. Fanyeni cho chote muwezacho mpaka pale mtakapokuwa na nafasi na uwezo wa kufanya mkitakacho. Hakuna kuona aibu wala kurudi nyuma. Blessings!
8e306326b6d790c4bc3d2c4a39c9ee48.jpg
“Ingawa nimebarikiwa kwa kuwa na utajiri, lakini huo utajiri haujanibadilisha, bado miguu yangu inakanyaga chini, ardhini.”- Oprah Winfrey
 
Na mhalifu mjinga wa leo ni mwenyewe Jeffrey Dahmer mla watu. Mwl. Nyerere aliwahi kusema kuwa ukila nyama ya mtu utaendelea kuila tu hakuna kukoma. Dahmer alionja nyama ya mtu na hakuweza kuacha. Polisi walimkuta amejaza majokofu yake viungo mbalimbali vya binadamu tayari kwa kukaangiza. Kilichowashangaza ni kwamba jamaa hakuwa na wasiwasi kabisa aliponaswa. Aliwaambia mapolisi "Duh! Safari hii inaonekana nimelikoroga ile mbaya". Ujinga na tamaa vilimzidi akajaza nyama kila mahali mpaka zingine akakosa mahali pa kuzihifadhi akawa anazi-flush kwenye choo. Choo kilipoziba ndipo mambo yakamharibikia...
2c43958cd186d47f2169165b03fc0683.jpg
latest
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom