Makapuku Forum

Makapuku Forum

Watu na akili zao za usiku...

MWALIMU: Taja madini yanayopatikana Tanzania
MWANAFUNZI: MAKRISTO
MAISLAMU
MASABATO
MAMITUME
MALOKOLE...
*Kila mtu anakipimo chake cha bangi* job nimepunguza leo
 
Mjomba lee empire fanya mambo ya magazeti mida ndo hii sasa

reading-the-newspaper_o_637800.jpg
 
Hahahhhh lee ana wivu mzoee tu
Nimeshamzoea. Tena ana bahati. PM ingekuwa haijawa blocked angejikuta analia na kusaga meno na wivu wake. Shimba na ushamba wake wa Kisukuma hachezagi akiamua. Sema tu sasa alishastaafu azawaisi ingekuwa patashika nguo kuchanika. Tuwe na amani na Mungu Aendelee kutulinda wapendwa!
fc3873b80b1a073eeffe2dd109c8022a.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom