1996 - Billy Bailey anakuwa mtu wa mwisho kunyongwa huko Marekani baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji mawili aliyoyafanya.
1998 - Pope John Paul wa II anazuru nchini Cuba kwa mara ya kwanza katika safari ya Kihistoria.Akaiomba nchi hiyo kuwaachia wafungwa wote wa kisiasa na irudishe uhusiano wake na Marekani.
Ipi hiyoNaona thread yenu pendwa imefutwa
Duh nimeshtuka
.......
Simulizi za The BoldIpi hiyo
2011 - Vuguvugu la Mapinduzi ya Misri laanza kwa mara kwanza kwa maandamano Makubwa katika miji ya Cairo na Alexandria.
Mtukutu1967 - David Ginola anazaliwa.
Winga wa zamani wa Newcastle United, Tottenham na timu ya taifa ya Ufaransa.
Anatajwa kama sababu ya Ufaransa kushindwa kufuzu kombe la Dunia la mwaka 1994, baada ya Ufaransa kufungwa mechi ya mwisho ya kufuzu 2-1 na Bulgaria.
Mpira ukiwa unaelekea dakika za lala salama, alipewa pasi akaipoteza wapinzani wakachukua mpira wakaenda kufunga, Ufaransa akashindwa kufuzu. Akalaumiwa sana na Kocha wake wa wakati huo Gerald Houllier.
Halafu mpira upo. Ukijua umejua tu.Mtukutu
1942 - Eusebio anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Ureno mzaliwa wa Msumbiji. Anachukuliwa kama mmoja wa wachezaji bora kuwahi kutokea Ureno.
Aliibuka mfungaji bora katika komne la dunia la mwaka 1966 lililofanyika pale England kwa Malkia.
Alifariki mwaka 2014.
Ni kweli walimuhujumu aisee1980 - Xavi Hernandez anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Spain.
Anatajwa kama kiungo bora kabisa wa kati kuwahi kutokea katika mchezo wa soka. Pia alikuwa ni muhimili wa mfumo wa tiktaka, mfumo wa kupiga pasi uliokuwa unachezwa na Barcelona na timu ya taifa ya Spain kuanzia mwaka 2008-12.
Ameshinda kila taji kwa upande wa klabu na timu ya taifa.
Tuzo pekee aliyoikosa ni Ballon D'or ambapo bila shaka FIFA walimuhujumu yeye pamoja na Iniesta.
Kwangu mimi yupo kwenye First Eleven yangu bora ya wakati wote.
Asante diktetaLeo katika Historia:
Sina la ziada, leo niliona niwakumbushie Segment yetu.
Pamoja.Asante dikteta
Ukitaka kufaidi mambo ya zamani ni super sports no 11, full kumbu kumbuHalafu mpira upo. Ukijua umejua tu.
1947 - Tostao anazaliwa.
Nyota wa zamani wa Brazil, anatajwa kama mmoja ya viungo bora wa uchezaji kutoka Brazil.
Alikuwepo Kikosini wakati Brazil ikitwaa kombe la Dunia la mwaka 1970 pale Mexico. Alikuwepo na akina Pele, Jaizinho, Carlos Alberto Torres na wengineo katika timu bora kabisa kuwahi kutokea kwa mujibu wa FIFA.
Aisee kumbe na wewe huwa unacheki? Wako poa sana.Ukitaka kufaidi mambo ya zamani ni super sports no 11, full kumbu kumbu