Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,225
- 39,940
1967 - David Ginola anazaliwa.
Winga wa zamani wa Newcastle United, Tottenham na timu ya taifa ya Ufaransa.
Anatajwa kama sababu ya Ufaransa kushindwa kufuzu kombe la Dunia la mwaka 1994, baada ya Ufaransa kufungwa mechi ya mwisho ya kufuzu 2-1 na Bulgaria.
Mpira ukiwa unaelekea dakika za lala salama, alipewa pasi akaipoteza wapinzani wakachukua mpira wakaenda kufunga, Ufaransa akashindwa kufuzu. Akalaumiwa sana na Kocha wake wa wakati huo Gerald Houllier.
1980 - Xavi Hernandez anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Spain.
Anatajwa kama kiungo bora kabisa wa kati kuwahi kutokea katika mchezo wa soka. Pia alikuwa ni muhimili wa mfumo wa tiktaka, mfumo wa kupiga pasi uliokuwa unachezwa na Barcelona na timu ya taifa ya Spain kuanzia mwaka 2008-12.
Ameshinda kila taji kwa upande wa klabu na timu ya taifa.
Tuzo pekee aliyoikosa ni Ballon D'or ambapo bila shaka FIFA walimuhujumu yeye pamoja na Iniesta.
Kwangu mimi yupo kwenye First Eleven yangu bora ya wakati wote.
Vizuri ili tuache ndoto za kukimbilia US. tupambane na hali yetuKutoka Majuu...
![]()
Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kutia saini amri kuu kuweka masharti kuhusu wahamiaji wanaoingia nchini humo.
Taarifa kutoka Marekani zinasema ataanza kwa hatua ya kuimarisha usalama katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico atakapozuru makao makuu ya wizara ya usalama wa ndani baadaye Jumatano.
Aidha, anatarajiwa pia kutoa tangazo la kuidhinisha sheria kali zaidi za kupata visa kwa wageni kutoka eneo la Mashariki ya Kati na Afrika ambayo yana Waislamu wengi.
Miongoni mwa nchi zitakazoathiriwa na agizo la Trump ni Syria, Yemen, na Iraq.
Bw Trump ameandika kwenye Twitter kwamba leo itakuwa siku muhimu sana kwa usalama wa taifa la Marekani.
Mwandishi wa BBC David Willis kutoka Washington anasema hatua hiyo huenda ikayaudhi mashirika ya kibinadamu na yale ya kutoa misaada ikizingatiwa mzozo unaoendelea kwa sasa kuhusu hali ya wakimbizi wa Syria.
![]()
Do you mean hippopotamus?Trump kiboko

Ushawahi kuzikuta kwenye dustbin?mzitunze jamani...msizimwage hovyo
*Mchungaji anaposema, tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu" alafu kwaya wanasimama wanaimba*
_"Hakuna wa kufanana naye"_
hapo ndipo ninapotoka kanisani bila kuelewa chochote
![]()

1981 - Alicia Keys anazaliwa.
Mwanamuziki mahiri toka nchini Marekani.
Angekujia ungekubali?Lee shukran huyo kaka aliyejiua anasikitisha sana sijui kwa nn aliamua kufanya hivyo wanawake wote hawa

Kuna lawyers humuJamani hivi humu naweza kupata msaada wa kisheria...nna tatizo kidogo
Niitie basi au niwekee majina yao niende PM mkuu, nina tatizoKuna lawyers humu
Funguka wakusaidie
.......
1984 - Robinho anazaliwa.
Ni mwanasoka toka nchini Brazil.
Wakati anachipukia alitajwa kama nyota hatari atakayekuja kuuteka mchezo wa soka, lakini ameshindwa kuonyesha uwezo wake na sasa mpira unaeleka mwishoni kwani umri ushaanza kumtupa mkono.
Alipitia klabu kama Man City, Real Madrid, Ac Milan nk
Una utani na Shimba wa BuyenzeVizuri ili tuache ndoto za kukimbilia US. tupambane na hali yetu
Tangu Trump aapishwe kapoteaUna utani na Shimba wa Buyenze
Sana yaani huwa sikosi kabisaAisee kumbe na wewe huwa unacheki? Wako poa sana.
Bila shakaJamani hivi humu naweza kupata msaada wa kisheria...nna tatizo kidogo
Mmh ipi hiyo BitozNaona thread yenu pendwa imefutwa
Duh nimeshtuka
.......
Haaaahaaaa jibu analo malkiaUshawahi kuzikuta kwenye dustbin?