Makapuku Forum

Makapuku Forum

8571927b82929cb4d9369306dc9189e4.jpg
Gudi
 
1967 - David Ginola anazaliwa.

Winga wa zamani wa Newcastle United, Tottenham na timu ya taifa ya Ufaransa.

Anatajwa kama sababu ya Ufaransa kushindwa kufuzu kombe la Dunia la mwaka 1994, baada ya Ufaransa kufungwa mechi ya mwisho ya kufuzu 2-1 na Bulgaria.

Mpira ukiwa unaelekea dakika za lala salama, alipewa pasi akaipoteza wapinzani wakachukua mpira wakaenda kufunga, Ufaransa akashindwa kufuzu. Akalaumiwa sana na Kocha wake wa wakati huo Gerald Houllier.
ca442156451245efbb098110924318b0.jpg
e1f7181a93838794b042b4421b5970c3.jpg
253e1bb12d7231cb925a164c6274acf3.jpg
11e059d97a9049a0213d3531a244a775.jpg
35e5ca9f05450bab32f8d2e652cf408e.jpg
 
1980 - Xavi Hernandez anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Spain.

Anatajwa kama kiungo bora kabisa wa kati kuwahi kutokea katika mchezo wa soka. Pia alikuwa ni muhimili wa mfumo wa tiktaka, mfumo wa kupiga pasi uliokuwa unachezwa na Barcelona na timu ya taifa ya Spain kuanzia mwaka 2008-12.

Ameshinda kila taji kwa upande wa klabu na timu ya taifa.

Tuzo pekee aliyoikosa ni Ballon D'or ambapo bila shaka FIFA walimuhujumu yeye pamoja na Iniesta.

Kwangu mimi yupo kwenye First Eleven yangu bora ya wakati wote.
fa31a0cd9a5b605df45eb9fa51ebceb8.jpg
c1244955e75ef22f42ada8cfd378c9f2.jpg
7847444d548dcc55aa7878feeddfa10e.jpg
 
Kutoka Majuu...
35290ffd7037232c854760ca717ff27d.jpg


Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kutia saini amri kuu kuweka masharti kuhusu wahamiaji wanaoingia nchini humo.

Taarifa kutoka Marekani zinasema ataanza kwa hatua ya kuimarisha usalama katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico atakapozuru makao makuu ya wizara ya usalama wa ndani baadaye Jumatano.

Aidha, anatarajiwa pia kutoa tangazo la kuidhinisha sheria kali zaidi za kupata visa kwa wageni kutoka eneo la Mashariki ya Kati na Afrika ambayo yana Waislamu wengi.

Miongoni mwa nchi zitakazoathiriwa na agizo la Trump ni Syria, Yemen, na Iraq.

Bw Trump ameandika kwenye Twitter kwamba leo itakuwa siku muhimu sana kwa usalama wa taifa la Marekani.

Mwandishi wa BBC David Willis kutoka Washington anasema hatua hiyo huenda ikayaudhi mashirika ya kibinadamu na yale ya kutoa misaada ikizingatiwa mzozo unaoendelea kwa sasa kuhusu hali ya wakimbizi wa Syria.

53ad01f3d9a34b949df5388b2802b286.jpg
Vizuri ili tuache ndoto za kukimbilia US. tupambane na hali yetu
 
1984 - Robinho anazaliwa.

Ni mwanasoka toka nchini Brazil.

Wakati anachipukia alitajwa kama nyota hatari atakayekuja kuuteka mchezo wa soka, lakini ameshindwa kuonyesha uwezo wake na sasa mpira unaeleka mwishoni kwani umri ushaanza kumtupa mkono.

Alipitia klabu kama Man City, Real Madrid, Ac Milan nk
a3f386bb40650243fa77daae970d9805.jpg
8712435b8af04353388f7a264f0b910e.jpg
7e51c3a848359a980994944ca17f6a35.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom