Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Morning jembe lake shoka ...hope u gudMorning all kapuku
Morning jembe lake shoka ...hope u gudMorning all kapuku
UDAKU LEO;
Malkia Leo tunaomba msamaha wako ya Leo yalitoka jana
Nimekupata vilivyo bhinamu..gazeti huandika ya jana , hayo unayosema ni ya juzi ujue😕
Noted mkuu....kwema lakiniUDAKU LEO;
Malkia Leo tunaomba msamaha wako ya Leo yalitoka jana
MorningMorning all kapuku
Kwa vile malkia hajayasoma ya udaku ya jana, wewe mtilie hayo hayo, kiporo huliwa kwa kupashwa lee empire

viporo vinaleta usingizi mkuu...ntasinzia! Umeamkaje lakini
Kwema Malkia ila hofu na mashaka ni kwa Balozi wetu ,yu mzima ??Noted mkuu....kwema lakini
Ahaaaaaaah bhinamu sio kwamba kinachacha ??Kwa vile malkia hajayasoma ya udaku ya jana, wewe mtilie hayo hayo, kiporo huliwa kwa kupashwa lee empire
Mzima kabisaa, tunamshukuru Mungu siku hazigandiKwema Malkia ila hofu na mashaka ni kwa Balozi wetu ,yu mzima ??
Ndo maneno hayo ya kusikiaMzima kabisaa, tunamshukuru Mungu siku hazigandi
Morning malkiaMorning
Pia weweJ2 njema kapuku's
Morning, nasubiri draw ya hull city na Chelsea baadayeMorning jembe lake shoka ...hope u gud
Bado njaa haijafika mkuu.Ni mtu mmoja tu anauwezo wa kusema nchi hii kuna njaa
Gazeti la Nipashe lina habari ambayo imenigusa sana, infact inanihusu. Naomba kuelezwa ni kanisa gani limepiga marufuku ndoa za wazazi?
Mimi pia nilikuwa kijiji fulani njaa IPO sema aliyeshiba hawezi ona hill....mwezi wa 6 mbali sana kule muda huh watu wanakula maembe km nyani vileBado njaa haijafika mkuu.
Mi nipo kijijini ninachoona ni dalili ya njaa. Kwa mwaka huu mavuno yatakuwa ni machache mno kutokana na mvua kuchelewa na kuwa chache. Nionavyo mimi, kuanzia mwezi wa sita mpaka february 2018 ndo tutajua nini maana ya climate change.