Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
MuchochesiChato huyo
![]()
![]()
![]()
.....

Mi mzima, hofu kwakoni poa shululu mzima lkn
Hilo Jina zuri sana![]()
Ht uwe na elimu ya Phd ukiingia siasani utafanya mambo kisiasa tu
Mfano
Dk Alli Son Kiwembe ni gwiji wa sheria halafu anasema Sizonje hajavunja katiba na ana uwezo wa kuteua na kutengua atakavyo.....
huu ni ustupid ht Certificate holder wa Law hawezi kusema ,yaani ukiwa mwanasiasa samtaimu upo tayari ukae uchi ili kumridhisha bwana mkubwa
![]()
![]()
![]()
........
Aje humu ndani

Cha tai![]()
![]()
wanakojenga lilikiwanjaa cha tausi ??
Mm mzima sanaMi mzima, hofu kwako
Mkuu nimefurahi kuona nyayo zako umetutenga kwa mdaCha tai
Nafurahi kusikiaMm mzima sana
Nisamehe mkuu, naingia kwa kukimbia mambo mengiMkuu nimefurahi kuona nyayo zako umetutenga kwa mda
Sawa mkuu najua mambo yakikaa sawa utaonekanaNisamehe mkuu, naingia kwa kukimbia mambo mengi
Uko sahihi sana mkuuSawa mkuu najua mambo yakikaa sawa utaonekana
ww jeNafurahi kusikia
Hahahhah pole yao wanaotaka kuingiaUmoja Wa ma Boyfriend wasumbufu Tanzania(UBOTA) ...Tunapenda kuwatangazia wana chama wetu kua bado kauli mbiu yetu ni ile ile "NTAKUOA MWAKANI" usijaribu wala kushawishika kuingia kwenye ndoa maana walio ndani ya ndoa wanataka kutoka....!!
*UBOTA OYEeeeeH*
Katibu ni Obe ,mimi simo na Bitoz jana kajitoaHahahhah pole yao wanaotaka kuingia
mm pia nimefurahiNi buheri afya mpendwa wangu.
Nimefurahi kukuona![]()
Mkuu ulitumwa nini ???Bado njaa haijafika mkuu.
Mi nipo kijijini ninachoona ni dalili ya njaa. Kwa mwaka huu mavuno yatakuwa ni machache mno kutokana na mvua kuchelewa na kuwa chache. Nionavyo mimi, kuanzia mwezi wa sita mpaka february 2018 ndo tutajua nini maana ya climate change.