Makapuku Forum

Makapuku Forum

05a1c43abb8bda799bcb8fc9fd6e2b63.jpg

Ht uwe na elimu ya Phd ukiingia siasani utafanya mambo kisiasa tu
Mfano
Dk Alli Son Kiwembe ni gwiji wa sheria halafu anasema Sizonje hajavunja katiba na ana uwezo wa kuteua na kutengua atakavyo.....
huu ni ustupid ht Certificate holder wa Law hawezi kusema ,yaani ukiwa mwanasiasa samtaimu upo tayari ukae uchi ili kumridhisha bwana mkubwa

........
Hilo Jina zuri sana
 
Umoja Wa ma Boyfriend wasumbufu Tanzania(UBOTA) ...Tunapenda kuwatangazia wana chama wetu kua bado kauli mbiu yetu ni ile ile "NTAKUOA MWAKANI" usijaribu wala kushawishika kuingia kwenye ndoa maana walio ndani ya ndoa wanataka kutoka....!!

*UBOTA OYEeeeeH*
 
Umoja Wa ma Boyfriend wasumbufu Tanzania(UBOTA) ...Tunapenda kuwatangazia wana chama wetu kua bado kauli mbiu yetu ni ile ile "NTAKUOA MWAKANI" usijaribu wala kushawishika kuingia kwenye ndoa maana walio ndani ya ndoa wanataka kutoka....!!

*UBOTA OYEeeeeH*
Hahahhah pole yao wanaotaka kuingia
 
Bado njaa haijafika mkuu.
Mi nipo kijijini ninachoona ni dalili ya njaa. Kwa mwaka huu mavuno yatakuwa ni machache mno kutokana na mvua kuchelewa na kuwa chache. Nionavyo mimi, kuanzia mwezi wa sita mpaka february 2018 ndo tutajua nini maana ya climate change.
Mkuu ulitumwa nini ???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom