Makapuku Forum

Makapuku Forum

7f626b1173319423dc260c9d415f094e.jpg
 
Mimi pia nilikuwa kijiji fulani njaa IPO sema aliyeshiba hawezi ona hill....mwezi wa 6 mbali sana kule muda huh watu wanakula maembe km nyani vile
Kumbuka tu kila mwaka kijijini njaa ipo ila mwaka huu balaa/imevuma sana sababu ya kukosekana mvua za vuli

Pia nimegundua vijiji vimepoa sana tanguJPM aingie madarakani mfano zamani wakati wa gulio watu walikuwa nyomi lakini siku hizi wamepungua sana
Pia japo watu wanazaliana lakini nimekuta pilikapolika zimepungua nahisi wameanza kukimbilia mijini kwa kasi
Njaa ya chakula na fedha ipo

........
Umeongea ukweli Balozi ...kuna vijiji hawakuzoea maisha ya kununua chakula hasa unga na Mchele ila kwa sasa hali imebadilika mkuu ,walizoea kubadilisha chakula wanavyotaka mfano mchana ale viazi usku mihogo ,kesho magimbi n.k ila now maisha ya vijijini yamekua kama mjini wanategemea kununua

Sasa angalau walioko mjini tulizoea kununua ila je wale wanaweza kununua na ukizingatia hali ya PESA kwa sasa

Kuna sehemu kununua maji walikua wanasoma kwenye magazeti ila kwa sasa hali ni mbaya bodaboda ndo wamechukua fulsa ya kutafuta maji na kuuza chukulia mfano kidumu sh 500 ....kazi ipo
 
Umeongea ukweli Balozi ...kuna vijiji hawakuzoea maisha ya kununua chakula hasa unga na Mchele ila kwa sasa hali imebadilika mkuu ,walizoea kubadilisha chakula wanavyotaka mfano mchana ale viazi usku mihogo ,kesho magimbi n.k ila now maisha ya vijijini yamekua kama mjini wanategemea kununua

Sasa angalau walioko mjini tulizoea kununua ila je wale wanaweza kununua na ukizingatia hali ya PESA kwa sasa

Kuna sehemu kununua maji walikua wanasoma kwenye magazeti ila kwa sasa hali ni mbaya bodaboda ndo wamechukua fulsa ya kutafuta maji na kuuza chukulia mfano kidumu sh 500 ....kazi ipo
Mimi mwenyewe nimeshuhudia msosi haubadiliki,chakula kilekile asubuhi,mchana & usiku daily mboga ndo inabadilika mara chache ndio maana vijiji vinakimbiwa
...........
 
Mimi mwenyewe nimeshuhudia msosi haubadiliki,chakula kilekile asubuhi,mchana & usiku daily mboga ndo inabadilika mara chance mbaya ndio maana vijiji vinakimbiwa
...........
Na hao ndo wenye huwezo wa kupata Milo yote kumbuka kuna ambao hawawezi kupata mashamba yamekauka misimu imebadirika hakuna kitu Balozi ila nasikia ghala lina nafaka za kutosha wakati unga umefika 1800
 
Haaaahaaaa, pm na waziri sijui ni yupi anasema kweli
05a1c43abb8bda799bcb8fc9fd6e2b63.jpg

Ht uwe na elimu ya Phd ukiingia siasani utafanya mambo kisiasa tu
Mfano
Dk Alli Son Kiwembe ni gwiji wa sheria halafu anasema Sizonje hajavunja katiba na ana uwezo wa kuteua na kutengua atakavyo.....
huu ni ustupid ht Certificate holder wa Law hawezi kusema ,yaani ukiwa mwanasiasa samtaimu upo tayari ukae uchi ili kumridhisha bwana mkubwa

........
 
05a1c43abb8bda799bcb8fc9fd6e2b63.jpg

Ht uwe na elimu ya Phd ukiingia siasani utafanya mambo kisiasa tu
Mfano
Dk Alli Son Kiwembe ni gwiji wa sheria halafu anasema Sizonje hajavunja katiba na ana uwezo wa kuteua na kutengua atakavyo.....
huu ni ustupid ht Certificate holder wa Law hawezi kusema ,yaani ukiwa mwanasiasa samtaimu upo tayari ukae uchi ili kumridhisha bwana mkubwa

........
Zatis turuuu Mr Balozi
 
Bado njaa haijafika mkuu.
Mi nipo kijijini ninachoona ni dalili ya njaa. Kwa mwaka huu mavuno yatakuwa ni machache mno kutokana na mvua kuchelewa na kuwa chache. Nionavyo mimi, kuanzia mwezi wa sita mpaka february 2018 ndo tutajua nini maana ya climate change.
Uko mkoa gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom