Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Bitozi c wote hatuna pesaMimi nimeandika kwa hisia tu maana kwa usawa huu wa Magufuli na zama za Utandawazi ni vigumu kulipia group la whatsapp....naona njia rahisi labda aanzishe blog maana atalipwa according to idadi ya views + matangazo
........
Kuna wenzetu haziwapigi chenga hizi ndogo ndogo

