Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna wakati unatakiwa uushinde moyo
Nlichogundua unatakiwa kuwa na roho ngumu sana kwenye inshu ya mapenzi otherwise utakufa na unamuacha mwenzako anafurahia maisha
Kikitokea shukuru Mungu futa machozi anza upya
Ni kweli lakin inahitaji moyo sana. Ili kuepuka hayo inabidi tuwe mguu nje mguu ndani ili kuepuka madhira kama haya.
 
Kuna wakati unatakiwa uushinde moyo
Nlichogundua unatakiwa kuwa na roho ngumu sana kwenye inshu ya mapenzi otherwise utakufa na unamuacha mwenzako anafurahia maisha
Kikitokea shukuru Mungu futa machozi anza upya
Kikubwa usihifadhi kitu chochote kichwani mwako au kwenye moyo kisa mwenzi wako, ni hatari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom