Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nambie kipenda rohooWw baba Bite weweee
Nambie kipenda rohooWw baba Bite weweee
Ni kweli lakin inahitaji moyo sana. Ili kuepuka hayo inabidi tuwe mguu nje mguu ndani ili kuepuka madhira kama haya.Kuna wakati unatakiwa uushinde moyo
Nlichogundua unatakiwa kuwa na roho ngumu sana kwenye inshu ya mapenzi otherwise utakufa na unamuacha mwenzako anafurahia maisha
Kikitokea shukuru Mungu futa machozi anza upya
Sasa si ukopi halafu umrushie Licongo PMBuku tano ...namba unampm ,au unacheki page ya kwanza ya vipepeo kuna namba unamtumia sms jana kashusha moja hatari kuhusu nuclear code
Ushakula kambale mkuu??Sasa si ukopi halafu umrushie Licongo PM
Wajanja watakuwa wanakubaliana kundi la watu 10-50 mmoja ajiunge zenu awe anawapostia ht whatsapp
Simple
![]()
![]()
![]()
....
Labda wazembe ndo walipe maana kuweka bundle tu ni pesaDu unalipa pesa?
Kikubwa usihifadhi kitu chochote kichwani mwako au kwenye moyo kisa mwenzi wako, ni hatari sanaKuna wakati unatakiwa uushinde moyo
Nlichogundua unatakiwa kuwa na roho ngumu sana kwenye inshu ya mapenzi otherwise utakufa na unamuacha mwenzako anafurahia maisha
Kikitokea shukuru Mungu futa machozi anza upya
Ahsante sanaKikubwa usihifadhi kitu chochote kichwani mwako au kwenye moyo kisa mwenzi wako, ni hatari sana
Nimefanyaje?Ngoja aje
Bitooooz![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Waweza kuwa hvyo mwanzo baadae ukajisahauNi kweli lakin inahitaji moyo sana. Ili kuepuka hayo inabidi tuwe mguu nje mguu ndani ili kuepuka madhira kama haya.
Dadaake niko hapa mkiiba tu nawasemeaSasa si ukopi halafu umrushie Licongo PM
Wajanja watakuwa wanakubaliana kundi la watu 10-50 mmoja ajiunge zen awe anawapostia ht whatsapp
Simple
![]()
![]()
![]()
....
Ulete matokeo hapaNimefanyaje?
Uhuru Stadium leo
TFF Cup
Yanga v Ashanti
......
Malkia yupo kibao cha manzese anakusubiriNimefanyaje?
Uhuru Stadium leo
TFF Cup
Yanga v Ashanti
......
Sio rahisi kujuaDadaake niko hapa mkiiba tu nawasemea
Kwa hyo mtakuwa mnapeana PM haya mkuuSio rahisi kujua
Kumbuka kuna watu wanafahamiana hadi # za simu hivyo wanauwezo wa kuwasiliana nje ya Jf na hata hapa yanayiendelea PM huwezi kuyajua
![]()
![]()
![]()
........
Nimeshamtumia na ameshaniaddBuku tano ...namba unampm ,au unacheki page ya kwanza ya vipepeo kuna namba unamtumia sms jana kashusha moja hatari kuhusu nuclear code
Kweli kabisaKuna wakati unatakiwa uushinde moyo
Nlichogundua unatakiwa kuwa na roho ngumu sana kwenye inshu ya mapenzi otherwise utakufa na unamuacha mwenzako anafurahia maisha
Kikitokea shukuru Mungu futa machozi anza upya
Hahahhhhh bitoz una akili wwSasa si ukopi halafu umrushie Licongo PM
Wajanja watakuwa wanakubaliana kundi la watu 10-50 mmoja ajiunge zen awe anawapostia ht whatsapp
Simple
![]()
![]()
![]()
....
Mimi nimeandika kwa hisia tu maana kwa usawa huu wa Magufuli na zama za Utandawazi ni vigumu kulipia group la whatsapp....naona njia rahisi labda aanzishe blog maana atalipwa according to idadi ya views + matangazoKwa hyo mtakuwa mnapeana PM haya mkuu
Hapo SawaMimi nimeandika kwa hisia tu maana kwa usawa huu wa Magufuli na zama za Utandawazi ni vigumu kulipia group la whatsapp....naona njia rahisi labda aanzishe blog maana atalipwa according to idadi ya views + matangazo
........