Ule ni ubavu wangu ndugu si unajua tenaUmekua kama youngbood dasa na wewe unamtafuta lizzie du kazi mnayo
Vijana mapenzi yanawatesa.Umekua kama youngbood dasa na wewe unamtafuta lizzie du kazi mnayo
Kumbe umeligundua hilo!![]()
![]()
weekend inaisha vibaya sana.
Hapo vp mkuu
Bora mimi etiii....!?Umekua kama youngbood dasa na wewe unamtafuta lizzie du kazi mnayo
Nimeitika nawe waitwa na Peter MizengoNdugu Peter msechu anakuita
Mimi leo hali mbaya sana.Kumbe umeligundua hilo!
Bora umekuja, nilijihisi mpweke nikataka nitafute dem mkongwe nimlete hapa nianze kusaundisha ili mda uende.Mimi nipo mkuu.
Hahaha.Bora umekuja, nilijihisi mpweke nikataka nitafute dem mkongwe nimlete hapa nianze kusaundisha ili mda uende.
Bora umekuja, nilijihisi mpweke nikataka nitafute dem mkongwe nimlete hapa nianze kusaundisha ili mda uende.
Pole aseee.....Mimi leo hali mbaya sana.
Mkuu pokea moja (pmPole...
Weekend hii
Asante mkuu.Pole aseee.....
Itakukosti mda si mrefu shauri yako.Bora umekuja, nilijihisi mpweke nikataka nitafute dem mkongwe nimlete hapa nianze kusaundisha ili mda uende.
Asante shem, ila ilibaki kidogo na mimi nikimbie.Pole...
Weekend hii
Ndiyo mkuu.Makapuku...maskini huchukiwa hata na jirani yake bali tajiri ana marafiki wengi..mmeamua kuungana sio!
Baada ya kupeana like za kutosha na kusapotiana kwa namma moja au nyingine, napendekeza kuanzia sasa kuwe na kampeni #follow me & i will follow you back. Hii itasaidia kupeana sapoti na kusaidiana tukiwa kwenye Majukwaa mengine ...
kiwelu
