EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Hahahahaaa.....mkuu huwa sifichagi visivyo na muonekano machoni bali vile vivutiavyo mwilini.. nimejaribu kwenda na vina lakini nimeshindwa
cc youngblood
Hahahahaaa.....mkuu huwa sifichagi visivyo na muonekano machoni bali vile vivutiavyo mwilini.. nimejaribu kwenda na vina lakini nimeshindwa
Mkuu nadhani Nahrene ameolewa.Kwani hajarudi mkuu
Miss you, upo?Cheers Comrade...
Na tunamuahidi bwana busegwe hatutarudia tena...
Yeah! Sasa umeanza kufikiri kiutu uzimaMkuu nadhani Nahrene ameolewa.
Wamekutukana wapi mkuuuSasa hatutaki shobo na matusi ndani ya nyumba tukufu ya Makapuku
Kuweni na adabu
Mlionitukana nimewaignore na kuwasamehe coz mmedhihilisha umbumbumbu wenu
Hongereni
...............
Rudi nyuma huko Jana wakongwe wameanzisha thread "Hatimae matabaka yameingia Jf" na kuandika makorokoro na matusi kibao dhidi ya MAKAPUKU Mimi nilikuwa nawasoma tu ....Wamekutukana wapi mkuuu
Kwa Hiyo mods wameuunganisha na huu????Rudi nyuma huko Jana wameanzisha thread "Hatimae matabaka yameingia Jf" na kuandika makorokoro na matusi kibao dhidi ya MAKAPUKU Mimi nilikuwa nawasoma tu ....
Sasa hivi Mods wameufunga na kuuleta hapa...si WLIZOEA KUBEBWA wakafikiri moderator atawakaushia TU...
.........................
NdioKwa Hiyo mods wameuunganisha na huu????
Okey mkuu.Ndio
Sasa walete shobo waone "nguvu yetu" Moderator kafanya poa coz tyr kuna thread tukufu ya MAKAPUKU ...itakuwaje watuzungumzie pembeni ?
Kwisha jeuri yao
..............
Nasikitika sana kutouona huo uziRudi nyuma huko Jana wakongwe wameanzisha thread "Hatimae matabaka yameingia Jf" na kuandika makorokoro na matusi kibao dhidi ya MAKAPUKU Mimi nilikuwa nawasoma tu ....
Sasa hivi Mods wameufunga na kuuleta hapa...si WLIZOEA KUBEBWA wakafikiri moderator atawakaushia TU...
.........................
Narudi nyuma nipitie post moja baada ya nyingine mpaka nifike hapo kwenye hizo comments.Ndio
Sasa walete shobo waone "nguvu yetu" Moderator kafanya poa coz tyr kuna thread tukufu ya MAKAPUKU ...itakuwaje watuzungumzie pembeni ?
Kwisha jeuri yao
..............
Tulishaifanya hiyo mkuu, kumbe we hujapitia posts za nyuma, hapa pia utaratibu ni huo huoBaada ya kupeana like za kutosha na kusapotiana kwa namma moja au nyingine, napendekeza kuanzia sasa kuwe na kampeni #follow me & i will follow you back. Hii itasaidia kupeana sapoti na kusaidiana tukiwa kwenye Majukwaa mengine ...
kiwelu
Baadae jioni ntaenda jumuia.Hahhaaaa lakin ungeweza kuanzia kanisani kwanza
Pole kwa msiba wa kuachwa.Mkuu nadhani Nahrene ameolewa.
Missing you more Jimena...Miss you, upo?
