Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Hapo sawaKusaidiwa sitaki nisije kuwa wale jamaa zangu unaowaitaga wa Dar ..ngoma tutaicheza mimi na wewe
Hapo sawaKusaidiwa sitaki nisije kuwa wale jamaa zangu unaowaitaga wa Dar ..ngoma tutaicheza mimi na wewe
Hapo sawa

Hata kitovu hakijadondokaaUkiwa staa taabu kweli kweli khaaa hata wiki mbili hajamaliza washaanza
Tangu uteuliwe kuwa balozi haukamatiki mkuu![]()
Acheni propaganda..
![]()
![]()
![]()
.....
Balozi wa njaaTangu uteuliwe kuwa balozi haukamatiki mkuu
Ahaaaaaaaaaah that's wonderful
Msimamizi wa jukwaa(moderator) anaijua kazi yake......halafu Th Name now ndo Bailly5 hivyo ni mtu mmoja sema kabadili ID
Mi ninachojiuliza ni lini Jf itaweza kuwa km YouTube yaani thread ikifikisha idadi fulani ya views mfano 1m Views kungekuwa na malipo Fulani hii ingeleta ushindani wa watu kuanzisha vitu vyenye akili na mvuto mfano mi napenda na kujua masuala ya mitindo/mavazi lakini jukwaa husika niliweka thread 3{moja mod aliifanya sticky) halafu nikagundua kuna mablogger "wanaiba" thread zangu tangu hapo nikaacha kuanzisha thread maana Blog zinalipwa kwa jasho/ubunifu wangu
Kwa wasiojua hata WhatsApp ukianzisha ujumbe/video/picha ikisambaa kwa kiwango fulani unalipwa ndio maana utasikia "tuma kwa watu 10" wale siyo wajingawajinga wanajua wafanyalo