Makapuku Forum

waache wakae huko huko aisee bitoz anaakili sana sasa kawakusanya wenzie kuna amani humu just imagine wangekuwa wametapakaa huku kitaa si ingekuwa tabu sana? big up bitoz
Duu nimeshindwa kukuelewa ,Bitoz ni mtu wa namna gani na hao wenziwe aliowakusanya kama unavyosema ni kama watu fulani wasiohitajika kwenye jamii ndio maana kitaa ingekuwa tabu ?

Kwa tafsiri rahisi haya ni matusi

Ngoja na mimi nikachungulie huko kwa makapuku
 
watundu na wanafanana kabisaa................wewe labda ndo unataka kuwatukana
 
Reactions: Lee
Kuna kapuku ye yote humu anayepambana na cholesterol tupeane mbinu? Kuna kakitambi ka bia niliachwa nako tangu mwaka juzi nilipoacha pombe kamegoma kuondoka. Nimekapigisha gym na kukakimbiza mabarabarani na japo kamepungua sana lakini bado kapo. Uvumilivu unaelekea kuniishia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…