Makapuku Forum

Makapuku Forum

Madenge umeanza. Faru atakuwaje na buyenze?
d2cdc14368699c26f220c00d5b639c7a.jpg
By the way za kupotea? Happy New Year...
Buyenze ni nini mkuu
 
M
Mkuu shimba, mara nyingin

Mkuu ninashindwa kuelewa kwanini wananchi ni maskini ilhali tuna maji mengi na ardhi nzuri sana hususani mbeya, iringa, moro, arusha na klm.
Niko Arusha kwa sasa, kinachoshangaza ni watu wachache sana wanafaidi rutuba na maji kwani wanayatumia 24hrs, siku 7 za wiki na 12months. Hasa wale wa ukanda wa mlima meru. Zaidi walowezi wa kizungu wanafaidi zaidi kwa kuchukua maji kwenye mito, na vyanzo vya maji kwa kulima maua na kuuza ulaya tena wanaajiri watu wengi kwa ujira haba kabisa.
Najiuliza sisi tumeshindwa nini kutumia mito au hata kuvuna maji ya mvua?
Quigley hili ni tatizo la mfumo wetu wa Elimu, tunafundishwa kuajiliwa tu nasi kujiajili
 
M
Mkuu shimba, mara nyingin

Mkuu ninashindwa kuelewa kwanini wananchi ni maskini ilhali tuna maji mengi na ardhi nzuri sana hususani mbeya, iringa, moro, arusha na klm.
Niko Arusha kwa sasa, kinachoshangaza ni watu wachache sana wanafaidi rutuba na maji kwani wanayatumia 24hrs, siku 7 za wiki na 12months. Hasa wale wa ukanda wa mlima meru. Zaidi walowezi wa kizungu wanafaidi zaidi kwa kuchukua maji kwenye mito, na vyanzo vya maji kwa kulima maua na kuuza ulaya tena wanaajiri watu wengi kwa ujira haba kabisa.
Najiuliza sisi tumeshindwa nini kutumia mito au hata kuvuna maji ya mvua?
Ni kweli. Kwa hali ya Tanzania ilivyo hatupaswi kuwa na njaa. Nimepitia California huku wana ukame wa miaka 10+ lakini huwezi kujua na hata bila msaada wa majimbo mengine wanaweza hata kujilisha wenyewe. Wakulima wakubwa 50 hivi wanaweza kulisha jimbo mamilioni ya watu na kila kitu ni irrigation. Wamechimba visima virefu na kujenga mabwawa makubwa makubwa. Sasa mvua zinanyesha na maji haya yanavunwa na kuhifadhiwa.

Kama nilivyosema hapo juu, sisi priorities zetu ziko misplaced na kilimo bado hakijapewa nafasi inayostahili. Tungekazania mapinduzi ya kilimo tungeingia hata kwenye viwanda vyepesi tukiwa na watu walioshiba. Lakini mkazo wetu ni madege na kujengewa viwanda vikubwa vikubwa na Wachina. Huwezi kuwa taifa la viwanda wakati watu wako wana njaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom