Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Uchochezi mubashara
Uchochezi mubashara
Utasaidia wengi lakini pia usishangae ukifanyiwa figisu figisu hasa kama siyo memba wa ile power cartel. Inabidi pia ufanye market analysis nzuri kwa sababu sidhani kama mkulima wa kawaida ana uwezo wa kununua maji ya kumwagilia. Pengine itabidi ukopeshe!Acha nichimbe mabwawa ya kisasa nije kuwauzia maji ya kilimo wakati wa hari
PowaaaHabar za jioni ndugu zanguu
Tupo tunapambanaNiko poa, vp pande hizo
Ni wapi hii Shululu? Ni majambazi au vibaka. Safari yao katika sayari hii nzuri ndo imekoma. Uzuri ni kwamba hata waliowafanyia hivi (pengine wananchi wenye hasira) wakati wao nao utafika. Inasikitisha!
FARU YA BUYENZEUtasaidia wengi lakini pia usishangae ukifanyiwa figisu figisu hasa kama siyo memba wa ile power cartel. Inabidi pia ufanye market analysis nzuri kwa sababu sidhani kama mkulima wa kawaida ana uwezo wa kununua maji ya kumwagilia. Pengine itabidi ukopeshe!
Madenge umeanza. Faru atakuwaje na buyenze?FARU YA BUYENZE
![]()
![]()
![]()
......
Hiyo ni chunya mbeya hao majambaziNi wapi hii Shululu? Ni majambazi au vibaka. Safari yao katika sayari hii nzuri ndo imekoma. Uzuri ni kwamba hata waliowafanyia hivi (pengine wananchi wenye hasira) wakati wao nao utafika. Inasikitisha!
Mleta picha sio ShululuNi wapi hii Shululu? Ni majambazi au vibaka. Safari yao katika sayari hii nzuri ndo imekoma. Uzuri ni kwamba hata waliowafanyia hivi (pengine wananchi wenye hasira) wakati wao nao utafika. Inasikitisha!
Shimba ya buyenze uko poa ??Ni wapi hii Shululu? Ni majambazi au vibaka. Safari yao katika sayari hii nzuri ndo imekoma. Uzuri ni kwamba hata waliowafanyia hivi (pengine wananchi wenye hasira) wakati wao nao utafika. Inasikitisha!
Kwa hiyo tuseme wamevuna walichopanda?Hiyo ni chunya mbeya hao majambazi
Pappaa ukoo byeee??Powaaa
Ni shushushu na sio shululuNi wapi hii Shululu? Ni majambazi au vibaka. Safari yao katika sayari hii nzuri ndo imekoma. Uzuri ni kwamba hata waliowafanyia hivi (pengine wananchi wenye hasira) wakati wao nao utafika. Inasikitisha!
AbsolutelyHii ndio habari ya mjini kwa sasa
![]()
Wamevuna walichokipanda bora wapungue hawaKwa hiyo tuseme wamevuna walichopanda?
Nipo kijijini nalima viazi ndo maana sitokeitokeiMadenge umeanza. By the way za kupotea?
Mkuu shimba, mara nyinginUtasaidia wengi lakini pia usishangae ukifanyiwa figisu figisu hasa kama siyo memba wa ile power cartel. Inabidi pia ufanye market analysis nzuri kwa sababu sidhani kama mkulima wa kawaida ana uwezo wa kununua maji ya kumwagilia. Pengine itabidi ukopeshe!
Mkuu ninashindwa kuelewa kwanini wananchi ni maskini ilhali tuna maji mengi na ardhi nzuri sana hususani mbeya, iringa, moro, arusha na klm.Utasaidia wengi lakini pia usishangae ukifanyiwa figisu figisu hasa kama siyo memba wa ile power cartel. Inabidi pia ufanye market analysis nzuri kwa sababu sidhani kama mkulima wa kawaida ana uwezo wa kununua maji ya kumwagilia. Pengine itabidi ukopeshe!
Niko poa kabisa. Niko huku Seattle aisee kuna baridi sijawahi ona. Cha moto nakiona. Hata hiyo tarehe 15 February sijui kama itafika. Kiherehere cha kudandia kozi fupi. Dah!Shimba ya buyenze uko poa ??