Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli. Kwa hali ya Tanzania ilivyo hatupaswi kuwa na njaa. Nimepitia California huku wana ukame wa miaka 10+ lakini huwezi kujua na hata bila msaada wa majimbo mengine wanaweza hata kujilisha wenyewe. Wakulima wakubwa 50 hivi wanaweza kulisha jimbo mamilioni ya watu na kila kitu ni irrigation. Wamechimba visima virefu na kujenga mabwawa makubwa makubwa. Sasa mvua zinanyesha na maji haya yanavunwa na kuhifadhiwa.

Kama nilivyosema hapo juu, sisi priorities zetu ziko misplaced na kilimo bado hakijapewa nafasi inayostahili. Tungekazania mapinduzi ya kilimo tungeingia hata kwenye viwanda vyepesi tukiwa na watu walioshiba. Lakini mkazo wetu ni madege na kujengewa viwanda vikubwa vikubwa Wachina. Huwezi kuwa taifa la viwanda wakati watu wako wana njaa!
Mkuu ngozi nyeupe ni level nyingine, ukifanya nao kazi zaidi ya miaka 5 unabadilika kifikra
 
Buyenze ni nini mkuu
Ni hayo manyoya ya shingoni mwa hilo simba dume. Huwa yanasimama likitaharuki au kuhisi hali ya hatari; na wakati mwingine likitaka kuvitisha visimba vitineja vinavyonyemelea majike yake. Sijui neno lake halisi katika Kiswahili. Sasa Madenge amekazana eti nibadilishe jina niwe Faru ya Buyenze. Si maajabu haya!
 
Ni hayo manyoya ya shingoni mwa hilo simba dume. Huwa yanasimama likitaharuki au kuhisi hali ya hatari; na wakati mwingine likitaka kuvitisha visimba vitineja vinavyonyemelea majike yake. Sijui neno lake halisi katika Kiswahili. Sasa Madenge amekazana eti nibadilishe jina niwe Faru ya Buyenze. Si maajabu haya!
Labda uwe faru jo
 
Ni hayo manyoya ya shingoni mwa hilo simba dume. Huwa yanasimama likitaharuki au kuhisi hali ya hatari; na wakati mwingine likitaka kuvitisha visimba vitineja vinavyonyemelea majike yake. Sijui neno lake halisi katika Kiswahili. Sasa Madenge amekazana eti nibadilishe jina niwe Faru ya Buyenze. Si maajabu haya!
Haaaahaaaa,bitoz itabidi aoe msukuma tu, maana hamna namna nyingine sasa
 
Ni kweli. Kwa hali ya Tanzania ilivyo hatupaswi kuwa na njaa. Nimepitia California huku wana ukame wa miaka 10+ lakini huwezi kujua na hata bila msaada wa majimbo mengine wanaweza hata kujilisha wenyewe. Wakulima wakubwa 50 hivi wanaweza kulisha jimbo mamilioni ya watu na kila kitu ni irrigation. Wamechimba visima virefu na kujenga mabwawa makubwa makubwa. Sasa mvua zinanyesha na maji haya yanavunwa na kuhifadhiwa.

Kama nilivyosema hapo juu, sisi priorities zetu ziko misplaced na kilimo bado hakijapewa nafasi inayostahili. Tungekazania mapinduzi ya kilimo tungeingia hata kwenye viwanda vyepesi tukiwa na watu walioshiba. Lakini mkazo wetu ni madege na kujengewa viwanda vikubwa vikubwa Wachina. Huwezi kuwa taifa la viwanda wakati watu wako wana njaa!
Aisee huku kijijini nilipo wakulima hawana trekta wachache wanalima kwa plau za kuvutwa na ng'ombe....ardhi ina rutuba lakini wanalima kizamani matokeo yake shamba kubwa mavuno kiduchu
Wanatia huruma
.......
 
Ni hayo manyoya ya shingoni mwa hilo simba dume. Huwa yanasimama likitaharuki au kuhisi hali ya hatari; na wakati mwingine likitaka kuvitisha visimba vitineja vinavyonyemelea majike yake. Sijui neno lake halisi katika Kiswahili. Sasa Madenge amekazana eti nibadilishe jina niwe Faru ya Buyenze. Si maajabu haya!
Nilifikiri Buyenze ni kijiji chenu
.......
 
Aisee huku kijijini nilipo wakulima hawana trekta wachache wanalima kwa plau za kuvutwa na ng'ombe....ardhi ina rutuba lakini wanalima kizamani matokeo yake shamba kubwa mavuno kiduchu
Wanatia huruma
.......
Wewe unawasaidiaje? Hata kimawazo tu? Wakati huo huo mabwana shamba wametia pamba zao wapo maofisini mijini na mshahara wanavuta kila mwezi. Tanganyika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom