sandramalando
Member
- Oct 25, 2016
- 37
- 16
Hahaha kweli unaijua mwenyewe*ZIMEBAKIA SIKU 367 KUMALIZA MWAKA WA 2017.. KARIBU 2018* akili zangu nazijua mwenyewe !
![]()
Hahaha kweli unaijua mwenyewe*ZIMEBAKIA SIKU 367 KUMALIZA MWAKA WA 2017.. KARIBU 2018* akili zangu nazijua mwenyewe !
![]()
Ni kweli shunie bhasi mukongo akija bila pesa tutaomba atusubirie kwa kutupigisha storylee kila mtu na pesa zake![]()
Ni kweli shunie bhasi mukongo akija bila pesa tutaomba atusubirie kwa kutupigisha story


kwa nn unamsemea mukongo naye atakujaje sehem bila hela
Huwez jua shuniekwa nn unamsemea mukongo naye atakujaje sehem bila hela
Tuko poaahamjambo umu
aiseeeShunie unanilaumu bureee![]()
Kapuku sio wa mchezo
Tottenham analoa!!!Ndiyo hivyo mkuu
Vinaitwa lawalawaPapaaa hivi vipipi kama bazoka

Sharti mojawapo muhimu kuwa na pesa za emergency ..alafu kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake ..ila wewe hata usipokuwa na emergency money

Najua Shululu. Na ni jambo jema. Zamani utani kati ya kabila na kabila ulikuwa jambo la kawaida. Hata leo bado utasikia watu wakisema "Oh nyie Wakinga watani wetu..." ila sisi Wasukuma nadhani ni watani wa kila mtu.
Juzi juzi hapa naona hata Wanyakyusa nao wameanza kutaniwa taniwa japo ni wakali sana. Inaonekana bado hawajakomaa sawasawa na wakitaniwa wanatoka povu balaa![]()
