Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shunie unanilaumu bureee
67a3ed01cadef4b5633561dfa6e39d29.jpg


Kapuku sio wa mchezo
 
Najua Shululu. Na ni jambo jema. Zamani utani kati ya kabila na kabila ulikuwa jambo la kawaida. Hata leo bado utasikia watu wakisema "Oh nyie Wakinga watani wetu..." ila sisi Wasukuma nadhani ni watani wa kila mtu.

Juzi juzi hapa naona hata Wanyakyusa nao wameanza kutaniwa taniwa japo ni wakali sana. Inaonekana bado hawajakomaa sawasawa na wakitaniwa wanatoka povu balaa
1bf7bb1623703d610e219e6f101a5b7e.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom