Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa udhamini murua na mnono wa mkuu Lothrito tuone udaku kuna nini
421fb40d2e0a55bfe2ced16174e482f9.jpg

kazi ipo kwelikweli .vijana wanapotea
5d53df3fa4e4f338015b4096924db2f7.jpg
7599b2de0aff343b514b2b6b534a13e2.jpg
f66f4621b41418000425713fcb9873ef.jpg


Tukatafute tonge la Leo
Ahsante kwa mazageti ya leo mkuu lee empire
 
Unajua wasukuma Wana watani wengi sana
Najua Shululu. Na ni jambo jema. Zamani utani kati ya kabila na kabila ulikuwa jambo la kawaida. Hata leo bado utasikia watu wakisema "Oh nyie Wakinga watani wetu..." ila sisi Wasukuma nadhani ni watani wa kila mtu.

Juzi juzi hapa naona hata Wanyakyusa nao wameanza kutaniwa taniwa japo ni wakali sana. Inaonekana bado hawajakomaa sawasawa na wakitaniwa wanatoka povu balaa
1bf7bb1623703d610e219e6f101a5b7e.jpg
 
Sharti mojawapo muhimu kuwa na pesa za emergency ..alafu kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake ..ila wewe hata usipokuwa na emergency money
ha ha ha nimecheka kwa sauti mm nitakuja na pesa zangu na nitakula kutokana na urefu wangu
 
Najua Shululu. Na ni jambo jema. Zamani utani kati ya kabila na kabila ulikuwa jambo la kawaida. Hata leo bado utasikia watu wakisema "Oh nyie Wakinga watani wetu..." ila sisi Wasukuma nadhani ni watani wa kila mtu.

Juzi juzi hapa naona hata Wanyakyusa nao wameanza kutaniwa taniwa japo ni wakali sana. Inaonekana bado hawajakomaa sawasawa na wakitaniwa wanatoka povu balaa
1bf7bb1623703d610e219e6f101a5b7e.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom