Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ndg makapuku:
Tumekuwa pamoja bega kwa bega tukiusongesha uzi huu tangu April, na sasa tuna miezi zaidi ya 8 tukiwa pamoja hapa.
Kwangu mimi nimeifurahia kampani na ushirikiano wenu ambao umezaa matunda chanya kwangu.
Nimejifunza mengi mbali na changamoto za hapa na pale, lakini mwisho wa siku tulibaki wamoja.

Binafsi wapo niliowakwaza naomba mnisamehe.
Kwa upande wangu sina ninaye mlaumu, NAWAPENDA WOTE, WENYEJI NA WAGENI.
Najua wote tuna haki na hadhi sawa bila kujali ulijiunga lini.
2017 i mlangoni na kwa msaada wa Mungu tutauona;
NACHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA BARAKA TELE NA AFYA NJEMA 2017.
Nisingependa kuwataja majina kwa kuogopa kumsahau yeyote.
Nawapenda sana
Senks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom