Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
habari Za saa hizi wadau
Njema mkuuhabari Za saa hizi wadau
Mkuu tunashukuru kwa ukarimu wako kiukweli mimi kama mimi ulinipokea vyema katika forum hii tunahitaji kuendelea kujifunza mengi na upendo wako udumu mara dufu ..heri ya kumaliza mwaka na pokea vizur mwaka mpyaNdg makapuku:
Tumekuwa pamoja bega kwa bega tukiusongesha uzi huu tangu April, na sasa tuna miezi zaidi ya 8 tukiwa pamoja hapa.
Kwangu mimi nimeifurahia kampani na ushirikiano wenu ambao umezaa matunda chanya kwangu.
Nimejifunza mengi mbali na changamoto za hapa na pale, lakini mwisho wa siku tulibaki wamoja.
Binafsi wapo niliowakwaza naomba mnisamehe.
Kwa upande wangu sina ninaye mlaumu, NAWAPENDA WOTE, WENYEJI NA WAGENI.
Najua wote tuna haki na hadhi sawa bila kujali ulijiunga lini.
2017 i mlangoni na kwa msaada wa Mungu tutauona;
NACHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA BARAKA TELE NA AFYA NJEMA 2017.
Nisingependa kuwataja majina kwa kuogopa kumsahau yeyote.
Nawapenda sana
Karibu sana mkuu.Mkuu tunashukuru kwa ukarimu wako kiukweli mimi kama mimi ulinipokea vyema katika forum hii tunahitaji kuendelea kujifunza mengi na upendo wako udumu mara dufu ..heri ya kumaliza mwaka na pokea vizur mwaka mpya
Nisamehe niliingilia kitengo chako cha magazeti ila najirahid nisikuangushe
Asante mkuu muhimu kumuomba Mungu tuumalize na kuanza vyemaKaribu sana mkuu.
Nimefurahi sana kuendeleza segmenti ya magazeti kwani kwasasa nimebanwa sana na kazi.
Kwa taarifa yako nami nilikuwa namsaidia Jimena.
Kazi nzuri sana, endelea ndg. Nakutakia mwaka mpya 2017 mwema kwako
AmenAsante mkuu muhimu kumuomba Mungu tuumalize na kuanza vyema
PamojaNdg makapuku:
Tumekuwa pamoja bega kwa bega tukiusongesha uzi huu tangu April, na sasa tuna miezi zaidi ya 8 tukiwa pamoja hapa.
Kwangu mimi nimeifurahia kampani na ushirikiano wenu ambao umezaa matunda chanya kwangu.
Nimejifunza mengi mbali na changamoto za hapa na pale, lakini mwisho wa siku tulibaki wamoja.
Binafsi wapo niliowakwaza naomba mnisamehe.
Kwa upande wangu sina ninaye mlaumu, NAWAPENDA WOTE, WENYEJI NA WAGENI.
Najua wote tuna haki na hadhi sawa bila kujali ulijiunga lini.
2017 i mlangoni na kwa msaada wa Mungu tutauona;
NACHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA BARAKA TELE NA AFYA NJEMA 2017.
Nisingependa kuwataja majina kwa kuogopa kumsahau yeyote.
Nawapenda sana
Nawatakieni heri ya mwaka mpya wadau wote
Mwaka humu vituko vilikuwa vingi....mfalme wa pori alikuwa Faru John
![]()
![]()
![]()
.......

Pamoja
..........

![]()
![]()
![]()
iyo sikupiiii anko ...tufanye ata ile kitu adimu pingwa ...shashiiiiiiii
hapan mkuu nipe mirungi napenda vitu asilin vipMwaka unaishaaaaa



Mimi nipo Mabibo Beach namalizia kutengeneza baruti ikifika saa 5:00 najimwaga kitaa kulipua.makapuku mpo wap![]()