Makapuku Forum

Makapuku Forum

tumeingizwaa chakaa ??? Au hutaki tujuee
Hapana lee empire si kweli kwanza humu anaenijua n mmoja tu uyo aliendika ata hanijui sijui nan Mungu wangu sina mimba mbona ilo jambo la kheri tu aisee kutokuingia mara kwa mara mtu unaweza ukaanzishiwa uzi ukatukanwa usijue
tumeingizwaa chakaa ??? Au hutaki tujuee
 
Hapana lee empire si kweli kwanza humu anaenijua n mmoja tu uyo aliendika ata hanijui sijui nan Mungu wangu sina mimba mbona ilo jambo la kheri tu aisee kutokuingia mara kwa mara mtu unaweza ukaanzishiwa uzi ukatukanwa usijue
Duuuuuuh pole ila aliefanya ivo amekoseaa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom