Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
Mutu ya congo upo vizuri
Uko poa mkuu...Lee Ahsante kwa mazageti man
Poa engineer wangu, za Sikukuu?Niajeee mukongo
Niko poa kamanda wangu.Uko poa mkuu...
mm sijala kiporoHaaaahaaaa
Cc Shunie
Mungu amuongozeeee ....sisi makapuku tupo nae katika maombi
Makubwa haya ndio naona apa nan aliandika hivyo
Huyo mtu aliyeandika ashindwe na uo uzi sijauona aisee tatizo jf naingia kwa kubeepMUNGU amtangulie huko na atoke salama. amen
Hapana aisee mm sina mimba sijui nan huyo aliyeandika yaan jf nikiingia naingia uku makapuku nakutoka ndio sijaonaMungu amuongozeeee ....sisi makapuku tupo nae katika maombi
Hapana aisee mm sina mimba sijui nan huyo aliyeandika yaan jf nikiingia naingia uku makapuku nakutoka ndio sijaona





tumeingizwaa chakaa ??? Au hutaki tujuee
Hapana aisee mm sina mimba sijui nan huyo aliyeandika yaan jf nikiingia naingia uku makapuku nakutoka ndio sijaona





tumeingizwaa chakaa ??? Au hutaki tujuee
Muntuuu ya kabila mbona iko watuletea taarifa siyo ???
Hapana lee empire si kweli kwanza humu anaenijua n mmoja tu uyo aliendika ata hanijui sijui nan Mungu wangu sina mimba mbona ilo jambo la kheri tu aisee kutokuingia mara kwa mara mtu unaweza ukaanzishiwa uzi ukatukanwa usijuetumeingizwaa chakaa ??? Au hutaki tujuee
tumeingizwaa chakaa ??? Au hutaki tujuee
Ndio mana kuna mtu alinipa dongo sijamuelewa kuwa kuna kashfa yangu nzito asee sijui nn kiliongelewa uko uo uzi ulikua linMuntuuu ya kabila mbona iko watuletea taarifa siyo ???
Fuata hiyo link uoneMakubwa haya ndio naona apa nan aliandika hivyo

Imefutwa papaa ulikua linFuata hiyo link uone![]()
Ni habari niliikuta hapa jf nikawawekea link mkampe HongeraMuntuuu ya kabila mbona iko watuletea taarifa siyo ???

Duuuuuuh pole ila aliefanya ivo amekoseaa ...Hapana lee empire si kweli kwanza humu anaenijua n mmoja tu uyo aliendika ata hanijui sijui nan Mungu wangu sina mimba mbona ilo jambo la kheri tu aisee kutokuingia mara kwa mara mtu unaweza ukaanzishiwa uzi ukatukanwa usijue