shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Anatengeneza, na kambale pembeni sasa,utamtaka bitoz hapokwan bitoz naye anatengeneza
Anatengeneza, na kambale pembeni sasa,utamtaka bitoz hapokwan bitoz naye anatengeneza
Nawe piaKwa udhamini wa chid vitz tuwe na usiku mwema makapuku



Same to youGoodnight family
You too papaaGoodnight family

Wakati nasoma Shahada yangu ya kwanza, tulitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi. Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatalishi. Hata vitu kama mdaki, diski mweko, mtaliga, kadi sakima na kadiwia/mkamimo havikuwepo kabisa. Ila kwa sasa mambo yamebadilika. Wanafunzi wanakula vibanzi na sharubati, wanapata mishiko haraka kutoka kiotomotela...wanatumia kadihela, Aaah mambo Saaaafi!
Shughuli ni pale unapogundua hujui kingereza wala kiswahili...
![]()
kiswahili kigumu kumbe ?Aisee ni mkaliAnatengeneza, na kambale pembeni sasa,utamtaka bitoz hapo
Asante kwa magazeti mkuu ila nahisi kama nasikia kale kawimbo kakiimba .....tuliipenda wenyew, chaguoletu milele, ....NIPASHE Serikali imesema taarifa za faru John kwa umma hazipaswi kutolewa kiholela na mtu yeyote bali zitoke kwa waziri mkuu![]()
Viberiti vya ndani vilikuwa vinapotea katika mazingira tatanishi sana.
Asante sana MKUUWakuu makapuku wenzangu!
Nawatakia asubuhi njema ya mwisho ya mwaka 2016
Mwaka 2017 uwe wa mafanikio kwenu...
Na wewe pia mkuu kapukuWakuu makapuku wenzangu!
Nawatakia asubuhi njema ya mwisho ya mwaka 2016
Mwaka 2017 uwe wa mafanikio kwenu...
Nawe piaWakuu makapuku wenzangu!
Nawatakia asubuhi njema ya mwisho ya mwaka 2016
Mwaka 2017 uwe wa mafanikio kwenu...