Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakati nasoma Shahada yangu ya kwanza, tulitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi. Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatalishi. Hata vitu kama mdaki, diski mweko, mtaliga, kadi sakima na kadiwia/mkamimo havikuwepo kabisa. Ila kwa sasa mambo yamebadilika. Wanafunzi wanakula vibanzi na sharubati, wanapata mishiko haraka kutoka kiotomotela...wanatumia kadihela, Aaah mambo Saaaafi!

Shughuli ni pale unapogundua hujui kingereza wala kiswahili...

 
Makapuku kumekucha salama ?? Mwaka ndo huo unaishaaa..tukapitie magazeti
14b2cf22f2fc7b426dc5c13746556b88.jpg
b1adadc7ac035752925eea3efbc4d353.jpg
3a3d700b2aac752859ace82d89ed6c88.jpg
Mwaka naona tunaukaribisha na umeme kupanda maradufu ...

NIPASHE Bei mpya ya umeme yenye ongezeko la 8.5% kwa uniti, imeibua hofu ya kuongezeka kwa gharama ktk huduma na bidhaa mbalimbali

20d6fd47b79721a747fd082b5ec4b37c.jpg
 
NIPASHE Serikali imesema taarifa za faru John kwa umma hazipaswi kutolewa kiholela na mtu yeyote bali zitoke kwa waziri mkuu
66eb48decc858a3dfcda8b97bff8f832.jpg
 
Wakati nasoma Shahada yangu ya kwanza, tulitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi. Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatalishi. Hata vitu kama mdaki, diski mweko, mtaliga, kadi sakima na kadiwia/mkamimo havikuwepo kabisa. Ila kwa sasa mambo yamebadilika. Wanafunzi wanakula vibanzi na sharubati, wanapata mishiko haraka kutoka kiotomotela...wanatumia kadihela, Aaah mambo Saaaafi!

Shughuli ni pale unapogundua hujui kingereza wala kiswahili...

kiswahili kigumu kumbe ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom