Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wewe boya kama unataka ujasiliamali ingia link hiyo hapo chini ukikosa cha kufanya wewe basi tena. Mnaazimwa akili mnaleta ujuwaji.

Mtaji wa milioni 1-5: Naweza kufanya Biashara gani?
Hayo mawazo yako ya milioni moja mpelekee nyanya yako huko akalimie fenesi
Boya kati yangu na wewe nani ?? Wewe ndoa yako na Kahtaan imekushinda ?? Mimi sili haramu acha kunilegezea sauti
 
Hivi madalali wanalipa cash au mkopo maana nawaogopa kama sumu!
Kaka Mimi walinilipa cash japo ni nwanamke ila kwa Swala la pesa nakuwaga mwanaume aisee....


Kaka madalali unavyoenda nao shamba wanapakia matunda uko pale na unahakikisha kwenye gar unamtu aneangalia na shamban kuna MTU anefuatilia mchakato mzima ..wewe upo kolikoli na dalali..
 
029af95a4f8cd6ce7b6e88c48509416f.jpg

Kigamboni bridge
...............
Nasikia watu washasepa na kamera nne katka daraja hilo
 
Kaka Mimi walinilipa cash japo ni nwanamke ila kwa Swala la pesa nakuwaga mwanaume aisee....


Kaka madalali unavyoenda nao shamba wanapakia matunda uko pale na unahakikisha kwenye gar unamtu aneangalia na shamban kuna MTU anefuatilia mchakato mzima ..wewe upo kolikoli na dalali..
Pole mama (pm) pliz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom