Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haya wapendwa...

Kuna mashamba wanakodisha ni sh. Elfu hamsini (50000) tu kwa eka moja huko vijiji vya mkulanga (pwan) si mbali sana na Dar

Ulimaji wa tikiti maji hauhitaji mvua bali ni kilimo cha kumwagilia

Kilimo hiki kinachukua siku60 toka Siku ya kwanza kupanda mbegu hadi kuvuna

Mwakajana nililima eka mbili
Na mtaji wake ni ml. 1.8 hadi ml. 2 kwa heka zote mbili

Hiyo gharama ni ya vitu vyote yani nimejumuisha had mafuta ya gar siku nilizokuwa naenda shamba .....

Mbegu yake inauzwa laki mbili kwa nusu kilo inaitwa Sukar F1 na nuau kilo inatosha eka moja hivyo ekari 2 ni kilo moja

Kilimo hiki kinahitaji monitoring ya hali ya juu ili usipate hasara..

Kule shamba (mkulanga)kuna vibarua ila wanahitaj usimamiz kwan mnajua watu wa pwani si wachapakazi sana....

Msimu mzur wa kilimo hiki ni kuanzia mwez wa tano had wa Tisa ....inabid mwez wa Tisa uwah kulima ili usikutane na matunda sokon Yale ya November mwshoni

Eka moja ikihudumiwa vizur inatoa tani 6 yaani gar mbili za tani tatu na msimu mzuri ni milion1.8 to ml 2 hivyo ukilima eka mbili una tani 12 means gar 4 za tani tatu...hapo huwez pata chin ya ml.6 ukirudisha gharama uliyotumia unabak na akiba unajiongeza tena...

Kama hujaelewa ruksa kuuliza

Masoko yapo kwan kipind cha kiangaz tikiti ni dili sana

Narudia tena usimamiz wa karibu unatakiwa. shambani...
Ahsante kwa somo
...................
 
c752a565b190ee9e04afb37eba86024d.jpg

Genk dime
Full time
..............
 
Matola huko nashinda kila Siku...ila sio vibaya nikiwashirikisha wenzangu hapa ili kama kuna MTU hajawah kwenda Kule apate pa kuanzia...


Tupo hapa kuelimishana na sio kukomoana..

Kama unajiona mkongwe nenda kule.

Daaahhh yan watu kama nyie hamfai katika jamii hii
Unajuwa JF kabla haijaanza kujitegemea tumekuwa tukikamuana pesa kulipia server katika ule mtindo wetu wa mkono mtupu haulambwi, ingawa nia yako ni njema lakini tuisaidie JF kwa kutojaza server bila sababu za msingi.

Iko njia rahisi pia ya kuwawekea link wale wanaopenda kujisomea, hizi topic zote zimo humu, ila ugonjwa wetu Wabongo ukiambiwa ukweli unahisi insult.
 
Haya wapendwa...

Kuna mashamba wanakodisha ni sh. Elfu hamsini (50000) tu kwa eka moja huko vijiji vya mkulanga (pwan) si mbali sana na Dar

Ulimaji wa tikiti maji hauhitaji mvua bali ni kilimo cha kumwagilia

Kilimo hiki kinachukua siku60 toka Siku ya kwanza kupanda mbegu hadi kuvuna

Mwakajana nililima eka mbili
Na mtaji wake ni ml. 1.8 hadi ml. 2 kwa heka zote mbili

Hiyo gharama ni ya vitu vyote yani nimejumuisha had mafuta ya gar siku nilizokuwa naenda shamba .....

Mbegu yake inauzwa laki mbili kwa nusu kilo inaitwa Sukar F1 na nuau kilo inatosha eka moja hivyo ekari 2 ni kilo moja

Kilimo hiki kinahitaji monitoring ya hali ya juu ili usipate hasara..

Kule shamba (mkulanga)kuna vibarua ila wanahitaj usimamiz kwan mnajua watu wa pwani si wachapakazi sana....

Msimu mzur wa kilimo hiki ni kuanzia mwez wa tano had wa Tisa ....inabid mwez wa Tisa uwah kulima ili usikutane na matunda sokon Yale ya November mwshoni

Eka moja ikihudumiwa vizur inatoa tani 6 yaani gar mbili za tani tatu na msimu mzuri ni milion1.8 to ml 2 hivyo ukilima eka mbili una tani 12 means gar 4 za tani tatu...hapo huwez pata chin ya ml.6 ukirudisha gharama uliyotumia unabak na akiba unajiongeza tena...

Kama hujaelewa ruksa kuuliza

Masoko yapo kwan kipind cha kiangaz tikiti ni dili sana

Narudia tena usimamiz wa karibu unatakiwa. shambani...
Sijaelewa kwenye mauzo mkuu
 
Wanasahau kuwa huku ni mafekero accounts hadi comments, sasa tatizo la jf watu hupenda kuangalia comments na Ku creates imagination kuwa huyu yuko njema, ana ringa dharau sijui nini ndo tatizo lilipo. Jf ukimind Bussiness zako na kufanya sehemu ya kushare ideas, kujifunza na kusoma habari lazima uenjoy.
Hivi nlishawahi kukuambia kuwa nakupenda?
 
Unajuwa JF kabla haijaanza kujitegemea tumekuwa tukikamuana pesa kulipia server katika ule mtindo wetu wa mkono mtupu haulambwi, ingawa nia yako ni njema lakini tuisaidie JF kwa kutojaza server bila sababu za msingi.

Iko njia rahisi pia ya kuwawekea link wale wanaopenda kujisomea, hizi topic zote zimo humu, ila ugonjwa wetu Wabongo ukiambiwa ukweli unahisi insult.
kausha basi mwana, unaweza ukafanya mambo mengine sio lazima humu, binadamu bhana
 
Unajuwa JF kabla haijaanza kujitegemea tumekuwa tukikamuana pesa kulipia server katika ule mtindo wetu wa mkono mtupu haulambwi, ingawa nia yako ni njema lakini tuisaidie JF kwa kutojaza server bila sababu za msingi.

Iko njia rahisi pia ya kuwawekea link wale wanaopenda kujisomea, hizi topic zote zimo humu, ila ugonjwa wetu Wabongo ukiambiwa ukweli unahisi insult.
Sijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..

By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP

Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
 
Sijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..

By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP

Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
Bibie achana na huyo jamaa hana asilo lijua kama vitabu vya dini ,utaumiza kichwa chako bure
 
Unajuwa JF kabla haijaanza kujitegemea tumekuwa tukikamuana pesa kulipia server katika ule mtindo wetu wa mkono mtupu haulambwi, ingawa nia yako ni njema lakini tuisaidie JF kwa kutojaza server bila sababu za msingi.

Iko njia rahisi pia ya kuwawekea link wale wanaopenda kujisomea, hizi topic zote zimo humu, ila ugonjwa wetu Wabongo ukiambiwa ukweli unahisi insult.
Kwani matola.. Mod hawaoni au wewe una wawakilisha!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom