Makapuku Forum

Sijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..

By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP

Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
Kila ishu inaruhusiwa
Anayependa mpira sawa
Anayependa umbea sawa
N.k

According to post # 3
No limitation
Kila MTU yupo free
Matusi TU ndo mwiko
....................
kausha basi mwana, unaweza ukafanya mambo mengine sio lazima humu, binadamu bhana

 
Sijaelewa kwenye mauzo mkuu
Iko hivi tikiti maji la mbegu ya F1 sukar likitunzwa vizur linakuwa kubwa linaweza kujaa kwenye ndoo ya Lita kumi ....

Hivyo basi eka moja inauwezo wa kutoa tikiti 2400 ambayo matikiti 1200 yanajaza gar ya tani 3 hvyo ukilima eka mbil unauwezo wa kujaza gar 4.... Ambapo gar moja ni kuanzia sh1.8 had m2 msimu ule mzur wa kiangaz..

Na uuzaji wake huwa tunakubaliana na madalal wa bugurun na ni vizur ukubaliane muuziane shamban yaan waje na gar wachukulie shamba
 
Mkuu swalama? Habari za Siku...
Mwanao hajambo
 
Bibie achana na huyo jamaa hana asilo lijua kama vitabu vya dini ,utaumiza kichwa chako bure
Naona unajipendekeza ili upendekezwe, good strategy jifanye unacare na longofya zote unaweza ukafanikiwa, na usisahau kulike post zake.
 
Sijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..

By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP

Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
Mkuu cjaona tatizo, mbona kila kona watu wanajadili vitu visivyo na tija hajakosoa iweje hapa ndo iwe hivyo, uckatishwe tamaa Amaizing
 
Naona unajipendekeza ili upendekezwe, good strategy jifanye unacare na longofya zote unaweza ukafanikiwa, na usisahau kulike post zake.
ATAKAYELETA MATUSI YA NGUONI
"Tunamuombea Ban
Vijembe ruksa
................................
Wewe kahtaan si ashakuweka ndani ,akutoshelezi au naona unatafuta mume kwa nguvu
 
Hivi madalali wanalipa cash au mkopo maana nawaogopa kama sumu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…