Makapuku Forum

Ahsante kwa somo
...................
 
Unajuwa JF kabla haijaanza kujitegemea tumekuwa tukikamuana pesa kulipia server katika ule mtindo wetu wa mkono mtupu haulambwi, ingawa nia yako ni njema lakini tuisaidie JF kwa kutojaza server bila sababu za msingi.

Iko njia rahisi pia ya kuwawekea link wale wanaopenda kujisomea, hizi topic zote zimo humu, ila ugonjwa wetu Wabongo ukiambiwa ukweli unahisi insult.
 
Sijaelewa kwenye mauzo mkuu
 
Hivi nlishawahi kukuambia kuwa nakupenda?
 
kausha basi mwana, unaweza ukafanya mambo mengine sio lazima humu, binadamu bhana
 
Sijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..

By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP

Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
 
Sijahisi kama unaninsult ila mwenyewe umekuja vibaya mwanzo..

By the way nimeamua kutoa nnchofaham so atakekipenda atanfata pm na najua mm ntamuelimisha VIP

Please matola pita taratibuu endelea na mambo yako...
Tafdhari sanaaaaa
Bibie achana na huyo jamaa hana asilo lijua kama vitabu vya dini ,utaumiza kichwa chako bure
 
Kwani matola.. Mod hawaoni au wewe una wawakilisha!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…