Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
HaaminikiLeo kepteni Wazza kaanza
.....
HaaminikiLeo kepteni Wazza kaanza
Tupo![]()
Mpo?
......
Filamu babu kubwa1954 - Filamu ya kwanza kabisa ya Godzilla yazinduliwa huko Japan.
Muller alikuwa kocha wa timu ya Taifa ya ujerumani kwenye fainali za kombe la Dunia 20021945 - Gerd Muller anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.
Anafahamika kama " The Bomber of the Nation ".
Alitamba sana katika kombe la dunia la mwaka 1974 lililofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutwaa ubingwa huo kando ya staa mwenzake Franz Backenbaeur " The kaiser ".
Nilijua yule ndugu yangu1948 - Lulu anazaliwa.
Ni mtunzi na mwanamuziki toka nchini Scotland.

Machine hiyo1963 - Ian Wright anazaliwa.
Ni staa wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya England.
Ni mfungaji wa pili katika historia ya klabu ya Arsenal.
Aima1979 - Pablo Aimar anazaliwa.
Staa wa zamani wa River Plate, Valencia, Zaragoza na timu ya taifa ya Argentina.
Wakati anachipukia alitajwa kama Diego Maradona mpya kutokana na uwezo wake mkubwa wa ku-dribble mpira, kumiliki na kutoa pasi zenye macho.
Moja kati ya Wachezaji walioshindwa kufikia matarajio ya vipaji vyao kando ya nyota wengine kama Javier Saviola, Ricardo Quaresma, Joe Cole n.k.
Shukrani
Haaminiki
.....
Leo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Mbeya city, Mbombo ngafu. Jioni njema.

Na Reqweme1979 - Pablo Aimar anazaliwa.
Staa wa zamani wa River Plate, Valencia, Zaragoza na timu ya taifa ya Argentina.
Wakati anachipukia alitajwa kama Diego Maradona mpya kutokana na uwezo wake mkubwa wa ku-dribble mpira, kumiliki na kutoa pasi zenye macho.
Moja kati ya Wachezaji walioshindwa kufikia matarajio ya vipaji vyao kando ya nyota wengine kama Javier Saviola, Ricardo Quaresma, Joe Cole n.k.
Nafikiri ni mjombaWa kufikia/kambo
..........
Daah kweli mkuu...Kipaji maridhawa kilichopotea na kuja kung'aa uzeeniNa Reqweme
Leta matokeoLeo kepteni Wazza kaanza
DuTushapigwa
Tumepigwa 2-1.Leta matokeo
Tumepigwa 2-1.
Kwa mara ya kwanza wasiwasi umeanza kuniingia juu ya uwezo wa Mourinho ndani ya Kikosi chetu.
polee ndo mpiraa..


