Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
hatupo.............![]()
Mpo?
......
hatupo.............![]()
Mpo?
......
bado sijakua kama ngedere.Acha ubwege ww
Umekuwa km ngedere
![]()
![]()
.....
Jidanganyebado sijakua kama ngedere.
labda mwakani nitakua kama yeye.
Leo katika Historia:
1903 - Kwa ushawishi wa Marekani, Panama yajitenga na Colombia.
1911 - Kampuni ya magari ya Chevrolet ya nchini Marekani yaanzishwa.
Ni moja kati ya kampuni kongwe za magari ulimwenguni.
Pia kampuni hiyo inaidhamini klabu ya Manchester United ya Uingereza.
1954 - Filamu ya kwanza kabisa ya Godzilla yazinduliwa huko Japan.
2014 - Jengo la One World Trade Center lafunguliwa huko Marekani.
Jengo hilo la kituo cha Kimataifa cha biashara lilijengwa upya mara baada ya lile la awali kushambuliwa na magaidi mwaka 2001.