Makapuku Forum

Makapuku Forum

713937e8a5ce8e0489d2290ed19b56c3.jpg

Mpo?
......
hatupo.............
 
1945 - Gerd Muller anazaliwa.

Ni staa wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

Anafahamika kama " The Bomber of the Nation ".

Alitamba sana katika kombe la dunia la mwaka 1974 lililofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutwaa ubingwa huo kando ya staa mwenzake Franz Backenbaeur " The kaiser ".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom