Makapuku Forum

Makapuku Forum

1945 - Gerd Muller anazaliwa.

Ni staa wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

Anafahamika kama " The Bomber of the Nation ".

Alitamba sana katika kombe la dunia la mwaka 1974 lililofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutwaa ubingwa huo kando ya staa mwenzake Franz Backenbaeur " The kaiser ".
Screenshot_2016-11-03-19-14-02.png
Screenshot_2016-11-03-19-14-21.png
Screenshot_2016-11-03-19-15-40.png
 
1979 - Pablo Aimar anazaliwa.

Staa wa zamani wa River Plate, Valencia, Zaragoza na timu ya taifa ya Argentina.

Wakati anachipukia alitajwa kama Diego Maradona mpya kutokana na uwezo wake mkubwa wa ku-dribble mpira, kumiliki na kutoa pasi zenye macho.

Moja kati ya Wachezaji walioshindwa kufikia matarajio ya vipaji vyao kando ya nyota wengine kama Javier Saviola, Ricardo Quaresma, Joe Cole n.k.
 
1996 - Jean Bedel Bokassa anafariki.

Alikuwa ni Rais wa pili wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Alijiita Rais wa Maisha. Pia alikuwa ni Jenerali katika Jeshi la Nchi hiyo.

Moja kati ya Marais waliotawala kibabe na wenye utata mkubwa.

Inasemekana alikuwa anakula nyama za watu, japo hakuna uthibitisho rasmi.
 
1979 - Pablo Aimar anazaliwa.

Staa wa zamani wa River Plate, Valencia, Zaragoza na timu ya taifa ya Argentina.

Wakati anachipukia alitajwa kama Diego Maradona mpya kutokana na uwezo wake mkubwa wa ku-dribble mpira, kumiliki na kutoa pasi zenye macho.

Moja kati ya Wachezaji walioshindwa kufikia matarajio ya vipaji vyao kando ya nyota wengine kama Javier Saviola, Ricardo Quaresma, Joe Cole n.k.
Screenshot_2016-11-03-19-33-04.png
Screenshot_2016-11-03-19-32-03.png
Screenshot_2016-11-03-19-32-25.png
 
1996 - Jean Bedel Bokassa anafariki.

Alikuwa ni Rais wa pili wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Alijiita Rais wa Maisha. Pia alikuwa ni Jenerali katika Jeshi la Nchi hiyo.

Moja kati ya Marais waliotawala kibabe na wenye utata mkubwa.

Inasemekana alikuwa anakula nyama za watu, japo hakuna uthibitisho rasmi.
Alikuwa tajiri wa kutupwa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom