Makapuku Forum

Makapuku Forum

1960 - Diego Armando Maradona anazaliwa.

Mwanasoka wa zamani wa Napoli, Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.

Anatajwa kama mchezaji bora wa karne ya 20.

Ametwaa kombe la dunia mwaka 1986 pale Mexico akiwa kama nahodha.

Ana heshima kubwa sana ndani ya Jiji la Naples alipochezea Napoli na ndio mji ambao alijifunza madawa ya kulevya.
HBD Dona
 
Remembrance Week yaanza.

Waingereza waanza kuwakumbuka mashujaa wao waliofariki vitani.

Kilele cha maadhimisho hayo ni tarehe 13 November.

Katika kipindi hiko Waingereza huvaa maua mekundu iwe kwenye suti au nguo yoyote ile ikiwemo hata jezi kwa wachezaji.
13/11 why???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom