Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Kwa udhamini mnono wa Herrera, weekend njema.
Herera
1477841414124.jpg
yani sina raha mpaka muda huu
 
1960 - Diego Armando Maradona anazaliwa.

Mwanasoka wa zamani wa Napoli, Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.

Anatajwa kama mchezaji bora wa karne ya 20.

Ametwaa kombe la dunia mwaka 1986 pale Mexico akiwa kama nahodha.

Ana heshima kubwa sana ndani ya Jiji la Naples alipochezea Napoli na ndio mji ambao alijifunza madawa ya kulevya.
napoli.jpg

cristiano-ronaldo-453-diego-armando-maradona-barcelona-captain-vs-real-madrid.jpg

0c67002c406369ee68ef1b65e6ba7469.jpg
 
Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.

Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.

Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake

Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.

Karibu sana

Bitoz
JF Makapuku Founder

Jimena
JF Makapuku assistant Founder

Th Name JF Makapuku assistant Founder


bwana yule.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom