Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
nafikiriDuh ama ndo walikua wanaitambua kama iko ndani ya israel?
nafikiriDuh ama ndo walikua wanaitambua kama iko ndani ya israel?
hahahahaa...RIP mke wa Musso.. Mkuu baada ya hapo ulioa tena? Oooopss!!! kumbe we ni Musso wa bongo![]()
HereraLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Herrera, weekend njema.

Mzee wa red cardLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Herrera, weekend njema.
Remembrance Week yaanza.
Waingereza waanza kuwakumbuka mashujaa wao waliofariki vitani.
Kilele cha maadhimisho hayo ni tarehe 13 November.
Katika kipindi hiko Waingereza huvaa maua mekundu iwe kwenye suti au nguo yoyote ile ikiwemo hata jezi kwa wachezaji.
Mzee wa red card
Dah kwa hiyo mkuu hata uki-import malighafi geto wikend hii ashki haiji?

kweli we die hard fan aisee..Leo katika Historia:
1974 - Pambano la ngumi la kukata na shoka lililojulikana kama " Rumble in the Jungle " kati ya Muhammad Ali na George Foreman lafanyika huko Kinshasa nchini Zaire.
Pambano hilo linatajwa kama moja kati ya mapambano bora kabisa ya ndondi kuwahi kutokea.
1975 - Prince Juan Carlos anakaimu nafasi ya Ukuu wa Nchi ya Hispania baada ya kuanguka kwa utawala wa Dikteta, Fransisco Franco.
Red card nnjeeeee hahahaaaaa
1983 - Argentina yafanya Uchaguzi mkuu wa kwanza wa Demokrasia baafa ya miaka 7 ya utawala wa Kidikteta.
1960 - Diego Armando Maradona anazaliwa.
Mwanasoka wa zamani wa Napoli, Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.
Anatajwa kama mchezaji bora wa karne ya 20.
Ametwaa kombe la dunia mwaka 1986 pale Mexico akiwa kama nahodha.
Ana heshima kubwa sana ndani ya Jiji la Naples alipochezea Napoli na ndio mji ambao alijifunza madawa ya kulevya.
Huo uchochezi sasaDah kwa hiyo mkuu hata uki-import malighafi geto wikend hii ashki haiji?kweli we die hard fan aisee..

Kumbe Maradona alichezea Na rca
1979 - Rachele Mussolini anafariki Dunia.
Ni mke wa Dikteta wa zamani wa Italy ndugu Benitto Mussolini.
1979 - Rachele Mussolini anafariki Dunia.
Ni mke wa Dikteta wa zamani wa Italy ndugu Benitto Mussolini.
Pele anasifiwa sana kuliko uhalisiaKumbe Maradona alichezea Na rca
Kumfananisha na Pele ni matusi sasa
![]()
![]()
... ..
Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Nasikia anaitwa PELEPele anasifiwa sana kuliko uhalisia