briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ngoja niwahi youtube niucheki huu mtanange, sijui utakuepo!...Leo katika Historia:
1974 - Pambano la ngumi la kukata na shoka lililojulikana kama " Rumble in the Jungle " kati ya Muhammad Ali na George Foreman lafanyika huko Kinshasa nchini Zaire.
Pambano hilo linatajwa kama moja kati ya mapambano bora kabisa ya ndondi kuwahi kutokea.
Utakuwepo tuNgoja niwahi youtube niucheki huu mtanange, sijui utakuepo!...
Mh kabla ya hapo palestina ilikua haitambuliki na nchi za ulaya?2014 - Sweden yawa nchi ya kwanza ambayo ni mwanachama wa Umoja wa Ulaya kuitambua nchi ya Palestina.
Mh kabla ya hapo palestina ilikua haitambuliki na nchi za ulaya?2014 - Sweden yawa nchi ya kwanza ambayo ni mwanachama wa Umoja wa Ulaya kuitambua nchi ya Palestina.
Ndio mkuuMh kabla ya hapo palestina ilikua haitambuliki na nchi za ulaya?
Duh ama ndo walikua wanaitambua kama iko ndani ya israel?Ndio mkuu
Bila kusahau ndiye mtu maarufu wa kufunga gori la mkono1960 - Diego Armando Maradona anazaliwa.
Mwanasoka wa zamani wa Napoli, Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.
Anatajwa kama mchezaji bora wa karne ya 20.
Ametwaa kombe la dunia mwaka 1986 pale Mexico akiwa kama nahodha.
Ana heshima kubwa sana ndani ya Jiji la Naples alipochezea Napoli na ndio mji ambao alijifunza madawa ya kulevya.
RIP mke wa Musso.. Mkuu baada ya hapo ulioa tena? Oooopss!!! kumbe we ni Musso wa bongo1979 - Rachele Mussolini anafariki Dunia.
Ni mke wa Dikteta wa zamani wa Italy ndugu Benitto Mussolini.



RIP Rachele1979 - Rachele Mussolini anafariki Dunia.
Ni mke wa Dikteta wa zamani wa Italy ndugu Benitto Mussolini.
Makocha wa timu, Moyes Jana alikuwa kavaaRemembrance Week yaanza.
Waingereza waanza kuwakumbuka mashujaa wao waliofariki vitani.
Kilele cha maadhimisho hayo ni tarehe 13 November.
Katika kipindi hiko Waingereza huvaa maua mekundu iwe kwenye suti au nguo yoyote ile ikiwemo hata jezi kwa wachezaji.
Haaaahaaaa, ngoja athibitisheRIP mke wa Musso.. Mkuu baada ya hapo ulioa tena? Oooopss!!! kumbe we ni Musso wa bongo![]()