Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20161030_205745.jpeg
 
Hata mm huyo jamaa nilihisi ni ww ndo mama kama unakimbuka nlishawahi kukuuliza Pm
Na hata huyu sa nilifikiri ni ww
Mimi naitumia ID 1 (nilishakueleweshaga PM)
Sipigwi BAN wala kuanzisha ligi na mtu au kuchezea watu akili hivyo sioni mpango kumiliki ID nyingi labda iwe keasababu maalumu mfano biashara maana sitataka watu wamjue BITOZ
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom