Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20161030_170112.jpeg
IMG_20161030_170054.jpeg
 
Leo katika Historia:

1974 - Pambano la ngumi la kukata na shoka lililojulikana kama " Rumble in the Jungle " kati ya Muhammad Ali na George Foreman lafanyika huko Kinshasa nchini Zaire.

Pambano hilo linatajwa kama moja kati ya mapambano bora kabisa ya ndondi kuwahi kutokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom