Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20161030_170112.jpeg
IMG_20161030_170054.jpeg
 
Leo katika Historia:

1974 - Pambano la ngumi la kukata na shoka lililojulikana kama " Rumble in the Jungle " kati ya Muhammad Ali na George Foreman lafanyika huko Kinshasa nchini Zaire.

Pambano hilo linatajwa kama moja kati ya mapambano bora kabisa ya ndondi kuwahi kutokea.
 
Back
Top Bottom